Shambulizi la anga lililofanywa na Israel lauwa Wapalestina 7, na wengine kujeruhiwa
Wapalestina wasiopungua saba wameuwawa na wengine kadhaa kujeruhiwa Jumatano (Desemba 11) kufuatia shambulizi la anga lililofanywa na Israel kwenye nyumba iliyoko katika kambi ya Nuseirat katikati ya Gaza, wafanyakazi wa afya wameiambia Reuters.
Watu walionekana wamekaa chini, wakilia na kuomboleza vifo vya wapendwa wao huku miili ikiwa sakafuni imefunikwa na mablanketi na mifuko ya kuhifadhi miili. Wanaume na wanawake walikuwa wakifanya sala ya mazishi kwenye miili hiyo kabla ya kusafirishwa kwenda kuzikwa. Israel na Hamas wamekuwa katika vita tangu wapiganaji wanaongozwa na Hamas walipoishambulia Israel Oktoba 7, 2023, na kuua watu 1,200 na kuwateka zaidi ya watu 250, kulingana na hesabu ya Israel. Shambulizi hilo lilichochea kampeni ya jeshi la Israeli dhidi ya Hamas huko Gaza, ambayo imeuwa zaidi ya Wapalestina 44,800, mamlaka za afya Gaza zimesema. - Reuters
#israel #wapalestina #shambulizi #vifo #Nuseirat #gaza #hamas #mateka #voa #voaswahili
18 Apr 2025
- The project had been ongoing for ten years.
18 Apr 2025
- The man is currently without his own home and is depending on others for housing.
18 Apr 2025
- The Kenya Met boss also listed counties that would experience very cold nights.
19 Apr 2025
- Canada's Prime Minister Mark Carney faced sustained attacks from his Conservative rival at an election debate Thursday, but the Liberal leader sought to focus attention on what he calls Canada's top threat, President Donald Trump.
19 Apr 2025
- Iran staged military parades on Friday to mark its annual Army Day celebrations, showcasing a wide array of its latest domestically built drones, missiles, tanks, and other hardware.
19 Apr 2025
- A woman is in custody after being found in possession of nearly 300 grams of cocaine, following a sting by a multi-agency security team targeting drug trafficking routes between Kenya’s Northern Frontier and the capital.
19 Apr 2025
- Idriss noted that the agency has observed a significant shift from development aid to investment-based financing, helping narrow the funding gap for well-prepared infrastructure projects.
19 Apr 2025
- Top county officials summoned in waste firm deal
19 Apr 2025
- After a 14-month hiatus, former Interior CS Fred Matiang'i, who left the country under a cloud of controversy after his home was raided by police, is back in the public sphere.
18 Apr 2025
- Detectives at the Kayole Police Station in Nairobi are holding a senior Imam for the offence of causing grievous harm to at least two persons.
18 Apr 2025
- Gas blast kills two, injures several in Embakasi South
18 Apr 2025
- Managing leg disorders in broiler chickens
18 Apr 2025
- Chaos erupted at the Kitale Museum on Friday afternoon as a modelling competition was violently disrupted by over 50 armed youths.