Skip to main content
Skip to main content

Shule ya St. George's yafungwa baada ya madai ya mwanafunzi kupigwa usiku

  • | Citizen TV
    3,404 views
    Duration: 2:20
    Shule ya upili ya wasichana ya st. George’s jijini nairobi imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya wanafunzi wa shule hiyo kuvunja lango na kuandamana usiku wa kuamkia leo. Wanafunzi hao walikuwa wakilalamikia madai ya kupigwa na kujeruhiwa kwa mwanafunzi mwenzao na mwalimu mmoja. Wanafunzi hao wanasema matukio kama hayo yamekuwa yakifanyika mara kwa mara lakini yanapuuzwa na shule hiyo. Willy lusige na taarifa hiyo.