- 9 views
Kenya imepunguza kwa kiasi kikubwa maambukizi ya ugonjwa wa kifuakikuu kutoka visa 168,000 mwaka wa 2017 hadi visa 124,000 mwaka 2024. Haya yalibainishwa na maafisa wa wizara ya afya huku Kenya ikiungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya kifuakikuu. Mwenyekiti wa kamati ya afya katika bunge la kitaifa Dkt. James Nyikal alitoa wito wa kuwepo kwa fedha za kutosha ili kuhakikisha mipango ya kukabiliana na ugonjwa huu haikwami licha ya serikali ya Marekani kusitisha utoaji misaada.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Siku ya Kifua Kikuu Ulimwenguni I Maambukizi ya kifua kikuu yapungua Kenya
- 26 Mar 2025 - A postmortem examination has confirmed that Amos Langat, the man allegedly shot dead by police officer Mohamed Yusuf Keinan, attached to the office of State House spokesperson Hussein Mohamed, was shot seven times at close range.
- 26 Mar 2025 - Machakos MCAs have raised concerns following the alleged disappearance of their colleague, Muthwani Ward Member of County Assembly, Dominic Maitha, under mysterious circumstances.
- 26 Mar 2025 - President William Ruto has publicly criticized former Attorney General Justin Muturi, who is currently the Cabinet Secretary for Public Service calling him “fairly incompetent”.
- 25 Mar 2025 - For the first time ever, every court in Kenya will have an independent committee to investigate corruption, separate from the government.
- 25 Mar 2025 - Jackson Kuria Kimani, alias Cop Shakur, a prison officer who hit headlines during the anti-finance protests for his criticism against the government, has been arrested.
- 25 Mar 2025 - Kenyans are staring at yet another healthcare crisis if the government fails to urgently make payments to faith-based hospitals.
- 25 Mar 2025 - “I had been warned earlier by someone that if I threw soil into the grave, I would not be able to move on with my life."
- 25 Mar 2025 - Ruto said government will keep supporting mosques and churches
- 25 Mar 2025 - President William Ruto has hit out at Cabinet Secretary for Public Service Justin Muturi, saying he proved to be incompetent as Attorney General.
- 25 Mar 2025 - Kenya needs to strengthen its legal framework for public participation, moving beyond mere consultation to ensure meaningful and cost-effective citizen engagement, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.