- 289 views
Suala la uadilifu na mtu anayefaa kushikilia afisi ya umma lilitawala mwanzoni mwa shughuli ya usaili wa wawaniaji walioorodheshwa kuwania nafasi ya uenyekiti wa tume ya uchaguzi, IEBC. Anne Amadi alimulikwa kuhusiana na kashfa ya dhahabu ya mwaka 2023 ambayo alipuuza akisema lilikuwa ni jaribio la mahasimu la kutoa doa uadilifu wake. Naye aliyekuwa jaji wa mahakama ya Afrika mashariki Charles Nyachae alikuwa na wakati mgumu kujibu madai ya kutokuwa mwaminifu katika ndoa yake pamoja na kashfa kuhusiana na waraka uliowasilishwa na vuguvu la Bunge la Mwananchi. Abdiaziz Hashim ana mengi kuhusu siku ya kwanza ya mahojiano ambapo wawaniaji wanne kati ya 11 walisailiwa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Usaili wa mwenyekiti na naibu wa IEBC waanza Nairobi
- 29 Mar 2025 - The terms of a mineral deal between Ukraine and the U.S. have not yet been finalised, Ukrainian officials said on Friday, after a summary of Washington's latest offer suggested it was demanding all of Ukraine's natural resources income for years.
- 29 Mar 2025 - A Congolese general expressed "indignation" on Friday about social media comments by Uganda's military chief that threatened to seize a city in northern Congo, reflecting heightened diplomatic strains as the region spirals deeper into conflict.
- 29 Mar 2025 - Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has called on all stakeholders to embrace Artificial Intelligence (AI) powered and research-backed solutions to end malnutrition.
- 29 Mar 2025 - On the second day of vetting for Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) commissioner hopefuls, six candidates faced the panel led by Nelson Makanda.
- - South Sudan says Vice President Machar will be investigated, raising war fears
- 29 Mar 2025 - A police officer attached to the Directorate of Criminal Investigations (DCI) Molo, Nakuru County, has been arrested and disarmed after he was allegedly involved in a shooting incident involving a boda boda rider on Wednesday night.
- 29 Mar 2025 - Relief after portal for university selection finally opens
- 29 Mar 2025 - Comments by Charles Kahariri and Noordin Haji to the effect that the two security units are opening up to the public and getting involved in civic matters have generated a hot debate.
- 28 Mar 2025 - Two people died on the spot following a head-on collision involving a school bus and a matatu along Molo-Keringet road.
- 28 Mar 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetangula has offered a Ksh.1 million cash prize for the chief who will lead in new Identity Card (ID) and voter registrations in Bungoma County.