Uwekezaji katika teknolojia unahitajika kuweza kuzuia upotoshaji, uongo
Pamoja na kuenea kwa taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii, Armando Nhantumbo mwandishi wa habari wa Msumbiji wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (MISA) anasema uwekezaji katika teknolojia unahitajika kwenye vyumba vya habari kuelekeza wanahabari jinsi ya kukabiliana na upotoshaji pamoja na habari za uongo.
(Armando Nhantumbo wa Media Institute of Southern Africa anaeleza:
“Shukrani kwa teknolojia, tunapata taarifa zaidi, na tunaweza kushiriki zaidi na zaidi katika masuala ya utawala ambayo ilikuwa ngumu miaka 30 iliyopita. Kinachotokea ni pamoja na faida hizi, lakini kuna hasara pia. Mojawapo ya ubaya ni kutoijua habari.”
MISA Msumbiji inatoa huduma za kuangalia ukweli na kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari, Nhantumbo anasema.
Armando Nhantumbo, Media Institute of Southern Africa anasema:
“Kuna vyombo vya kidijitali vinavyotusaidia kufanya hili na sisi MISA Msumbiji tumekuwa tukiandaa mafunzo kwa wanafunzi wa uandishi wa habari, waandishi wa habari na mashirika ya kiraia juu ya jinsi ya kutumia majukwaa haya.”
Kwa vile jamii inategemea zaidi mitandao ya kijamii kwa habari, watetezi wa vyombo vya habari wanasema kazi kama ya Evidencias na MISA Msumbiji itakuwa chombo chenye nguvu katika kuhabarisha umma kwa usahihi na uwazi.
#MISA #KusinimwaAfrika #msumbiji #maputo #waandishi #armandonhantumbo #mediainstituofsouthafrica #voa #voaswahili #habaripotofu #upotoshaji #voa #voaswahili
12 Apr 2025
- Farouk serves as Ruto's personal assistant, who many leaders including the former DP Rigathi Gachagua complained of.
12 Apr 2025
- The Member of County Assembly died after a short illness.
12 Apr 2025
- The protests emerged ahead of President Ruto's tour of the region.
12 Apr 2025
- The Ministry of Interior is raising the alarm over the increasing incidents of gender-based violence in Taita Taveta.
12 Apr 2025
- A section of Narok leaders now say they will oppose the construction of a proposed international airport on land allegedly linked to former President Uhuru Kenyatta in Maasai Mara.
12 Apr 2025
- Farouk serves as Ruto's personal assistant, who many leaders including the former DP Rigathi Gachagua complained of.
12 Apr 2025
- The Member of County Assembly died after a short illness.
12 Apr 2025
- Irene Wambua Mbithe, a woman from Machakos County who lost her eye to a hyena attack, has successfully undergone the first process of artificial eye surgery transplant at Lions' Firstsight Eye Hospital.
12 Apr 2025
- Another blow to contractor of demolished 11-storey building
12 Apr 2025
- Trump replaces Obama portrait with painting of... himself
12 Apr 2025
- The protests emerged ahead of President Ruto's tour of the region.
12 Apr 2025
- National Assembly minority leader Junet Mohamed has sustained attacks on former Deputy President Rigathi Gachagua over his shareholding claims, which hounded him out of office. Speaking during the funeral ceremony of the late George Odour, Raila Odinga’…
12 Apr 2025
- The President has given the Cabinet Secretaries expanded roles in their various capacities.