Vita: Wachambuzi wa kisiasa na ulinzi waeleza nini lengo la Putin
Wakati viongozi wa Umoja wa Ulaya wakijiandaa kwa mazungumzo ya dharura kuhusu misaada ya kijeshi baada ya utawala wa Trump kusitisha msaada wake kwa Ukraine, wataalam kadhaa wa Russia wanasema kuwa Moscow inajitahidi kuvuruga mshikamano wa Magharibi.
Kufuatia majibizano ya wiki iliyopita huko White House kati ya viongozi wa Marekani na wale wa Ukraine, msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov, Jumatatu aliilaumu Ulaya kwa kuendeleza vita hivyo, akiongeza kuwa marekebisho kwenye sera za mambo ya nje za Marekani kwa sehemu kubwa zinaendana na mtazamo wa Moscow.
Maoni hayo yamekuja kabla ya kuanza kwa mkutano wa fedha wa Umoja wa Ulaya Alhamisi ukilenga kuimarisha usalama wa bara hilo pamoja na msaada kwa Ukraine ambayo kwa miongo kadhaa imekuwa ikitegemea msaada wa ulinzi kutoka Marekani.
Kwenye mahojiano ya hivi karibuni na gazeti la kijeshi la Krasnaya Zvezda, Waziri wa Mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov alimtaja rais Trump kama “ mtu anayeangalia masuala kwa kina” na kwamba kauli mbiu yake ni “tumia akili.” Alisema kwamba majanga yote ya dunia kwa zaidi ya miaka 500 iliyopita yalianzia au kufanyika Ulaya kutokana na sera zao wakati Marekani ikiwa haijahusika.
#trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa #makamurais #jdvance #msaada
28 Mar 2025
- The government is expected to hire 10,000 police officers this year.
28 Mar 2025
- The latest pronouncement comes amidst increased scrutiny on the public transport sector after an incident with popular matatu company Super Metro.
28 Mar 2025
- The protests have led to the closure of the major artery out of the CBD.
29 Mar 2025
- At least four police personnel and two militants were killed in a gun battle in India's restive territory of Jammu and Kashmir, an official said on Friday, as troops searched for heavily armed men who local residents had spotted in the area on Sunday.
29 Mar 2025
- Canada plans additional retaliation for U.S. President Donald Trump's auto tariffs and reciprocal tariffs on U.S. trading partners scheduled for early April.
29 Mar 2025
- Qatar hosted a second round of talks on Friday between Congo and Rwanda and separately met with representatives of the Rwandan-backed rebellion waging an insurgency in eastern Congo, four sources told Reuters.
29 Mar 2025
- South Sudan's First Vice President Riek Machar is under arrest and will be investigated, the government said on Friday - the first official confirmation of a detention that world powers fear could tip the nation back into war.
29 Mar 2025
- The terms of a mineral deal between Ukraine and the U.S. have not yet been finalised, Ukrainian officials said on Friday, after a summary of Washington's latest offer suggested it was demanding all of Ukraine's natural resources income for years.
29 Mar 2025
- Kenya’s electoral history is a dynamic narrative of struggle, reform, and resilience. From the early post-independence days, when electoral bodies served as mere appendages of the executive, to the hard-fought gains of multiparty democracy and…
29 Mar 2025
- A Congolese general expressed "indignation" on Friday about social media comments by Uganda's military chief that threatened to seize a city in northern Congo, reflecting heightened diplomatic strains as the region spirals deeper into conflict.
29 Mar 2025
- Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has called on all stakeholders to embrace Artificial Intelligence (AI) powered and research-backed solutions to end malnutrition.
29 Mar 2025
- Relief after portal for university selection finally opens
29 Mar 2025
- On the second day of vetting for Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) commissioner hopefuls, six candidates faced the panel led by Nelson Makanda.