Waandishi wajituma kuufahamisha umma kuhusu habari potofu za Mpox, COVID-19
"Mjini Kinshasa, ninapoishi, nimegundua kwamba kuna hali ya kutojali kuhusu raia kupambana na virusi vya Corona kwa sababu watu wengi hawaamini kwamba kuna ugonjwa huo idadi kubwa ya watu wasioamini kwamba kuna ugonjwa ni wale wanaoishi nje ya mji," J. Kazimoto.
Naye Daniel Makeke ni mhariri. Anasema juhudi hizo ni muhimu katika kupambana na habari potofu. Vituo vya radio vinategemea podcasts ili kueneza taarifa kuhusu magonjwa na majanga, namna ya kupata tiba, ukweli kuhusu tiba na chanzo cha monkeypox, miongoni mwa mengine. Kwa namna hiyo, tunaweza hata kuwafikia watu wasiokuwa na uwezo wa mtandao wa kidijitali ambao wanafaidika na kazi yetu ya kutafuta ukweli.
Makeke anasema juhudi za Eleza ukweli zinasaidia kuzuia kusambaa kwa habari za uongo kuhusu magonjwa kusambaa, zinazoweza kuwa hatari kwa afya.
Mwandishi wa habari Zanem Nety Zaidi ameandaa ripoti hii kutoka Goma, DRC.
#habaripotofu #drc #goma #waandishi #voa #voaswahili #covid19 #mpox #virusi
11 Mar 2025
- The man's actions gained significant attention with many questioning the motive behind his actions.
11 Mar 2025
- This split could have the project done away with or delayed.
11 Mar 2025
- The leader says that Sakaja should request more infrastructural developments for the country's capital.
12 Mar 2025
- Only seven countries met World Health Organization (WHO) air quality standards last year, data showed on Tuesday, as researchers warned that the war on smog would only get harder after the United States shut down its global monitoring efforts.
12 Mar 2025
- Ukrainian and U.S. officials met behind closed doors for hours of talks in Saudi Arabia on Tuesday to find a path towards ending the war with Russia, after Kyiv's forces launched their largest drone attack on Moscow of the war overnight.
12 Mar 2025
- Collins Leitich, the man who set up an unauthorised police station in Cherus Centre, Kesses Sub-County, now says that the base was only five days old and no one had been assigned as a police officer at the site.
12 Mar 2025
- Gunmen stormed a hotel in the Somali city of Beledweyne on Tuesday, leaving at least five people dead and triggering an ongoing siege, according to witnesses and a Somali lawmaker.
12 Mar 2025
- The government is determined to do away with the indignity and squalor in slums through the Affordable Housing Programme in towns and cities, President William Ruto has said.
12 Mar 2025
- With one week remaining and preparations for this year’s WRC Safari Rally gathering steam, a section of Kenyan drivers have come out to express their frustrations over a lack of sponsorship. The trailblazing Pauline Sheghu, a seasoned communication…
12 Mar 2025
- Detectives at Nairobi’s Lang’ata Police Station are investigating the circumstances under which a 19-year-old Form Four leaver died mysteriously while celebrating her birthday at her boyfriend’s house.
12 Mar 2025
- Hiccups in State's push to formalise and tax small businesses
12 Mar 2025
- After four weeks of unresolved protests, Universal Health Coverage (UHC) workers on Tuesday escalated their grievances, marching to Parliament to petition the Senate for urgent intervention.
12 Mar 2025
- Controller of Budget (CoB) Margaret Nyakang’o has issued new guidelines on the usage of funds by county governments, State departments, and parastatals.