- 160 views"Mjini Kinshasa, ninapoishi, nimegundua kwamba kuna hali ya kutojali kuhusu raia kupambana na virusi vya Corona kwa sababu watu wengi hawaamini kwamba kuna ugonjwa huo idadi kubwa ya watu wasioamini kwamba kuna ugonjwa ni wale wanaoishi nje ya mji," J. Kazimoto. Naye Daniel Makeke ni mhariri. Anasema juhudi hizo ni muhimu katika kupambana na habari potofu. Vituo vya radio vinategemea podcasts ili kueneza taarifa kuhusu magonjwa na majanga, namna ya kupata tiba, ukweli kuhusu tiba na chanzo cha monkeypox, miongoni mwa mengine. Kwa namna hiyo, tunaweza hata kuwafikia watu wasiokuwa na uwezo wa mtandao wa kidijitali ambao wanafaidika na kazi yetu ya kutafuta ukweli. Makeke anasema juhudi za Eleza ukweli zinasaidia kuzuia kusambaa kwa habari za uongo kuhusu magonjwa kusambaa, zinazoweza kuwa hatari kwa afya. Mwandishi wa habari Zanem Nety Zaidi ameandaa ripoti hii kutoka Goma, DRC. #habaripotofu #drc #goma #waandishi #voa #voaswahili #covid19 #mpox #virusi
Waandishi wajituma kuufahamisha umma kuhusu habari potofu za Mpox, COVID-19
- - Ulimwengu wa Soka ››
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- 12 Apr 2025 - The Ministry of Interior is raising the alarm over the increasing incidents of gender-based violence in Taita Taveta.
- 12 Apr 2025 - A section of Narok leaders now say they will oppose the construction of a proposed international airport on land allegedly linked to former President Uhuru Kenyatta in Maasai Mara.
- 12 Apr 2025 - Farouk serves as Ruto's personal assistant, who many leaders including the former DP Rigathi Gachagua complained of.
- 12 Apr 2025 - The Member of County Assembly died after a short illness.
- 12 Apr 2025 - Irene Wambua Mbithe, a woman from Machakos County who lost her eye to a hyena attack, has successfully undergone the first process of artificial eye surgery transplant at Lions' Firstsight Eye Hospital.
- 12 Apr 2025 - Another blow to contractor of demolished 11-storey building
- 12 Apr 2025 - Trump replaces Obama portrait with painting of... himself
- 12 Apr 2025 - The protests emerged ahead of President Ruto's tour of the region.
- 12 Apr 2025 - National Assembly minority leader Junet Mohamed has sustained attacks on former Deputy President Rigathi Gachagua over his shareholding claims, which hounded him out of office. Speaking during the funeral ceremony of the late George Odour, Raila Odinga’…
- 12 Apr 2025 - The President has given the Cabinet Secretaries expanded roles in their various capacities.