- 182 views
Aliyekuwa gavana wa Kiambu Ferdinand Waititu atalazimika kutumikia kifungo cha miaka 12 gerezani kuanzia usiku endapo atashindwa kulipa faini ya shilingi milioni 53.5. hakimu mkuu wa mahakama ya kupambana na ufisadi ya milimani, Thomas Nzioka ametoa uamuzi huo baada ya waititu na mkewe kupatikana na hatia ya ubadhirifu wa fedha na utumizi mbaya wa ofisi. Mkewe alitakiwa kutumikia kifungu cha mwaka mmoja au faini ya shiling nusu milioni. Hatahivyo mkewe ameachilia baada ya kulipa faini hiyo.
Waititu ahukumiwa miaka 12 jela akishindwa kulipa faini ya shilingi milioni 53.5
- 14 Feb 2025 - EACC says it is still pursuing former Kiambu Governor Ferdinand Waititu over close to Ksh.2 billion unexplained assets and other graft charges.
- 14 Feb 2025 - Today is Valentine’s Day, the day lovers express gratitude for their loved ones in life. It’s a day to celebrate and exchange gifts such as flowers and chocolates as a show of love and affection. But is Valentine’s Day a day that humanity shows some…
- 14 Feb 2025 - Western MPs rally against plot to oust Speaker
- 14 Feb 2025 - Kenya pushes for talent monetization at Magical Kenya Open auction
- 14 Feb 2025 - Parents school cost shocker as MPs plan to end exam fee waiver
- 14 Feb 2025 - Case reveals web of graft as Waititu jailed 12 years and barred from office
- 14 Feb 2025 - Youth favour PrEP over condoms as HIV surge, health experts say
- 14 Feb 2025 - Gachagua allies, Ruto critics kicked out of Senate committees
- 14 Feb 2025 - Wetang'ula dilemma: Give up Ford-K party or Speaker's perks?
- » Two foreigners among 4 arrested for running fake university, issuing bogus Masters and PhD degrees14 Feb 2025 - Four suspects have been arrested and arraigned for issuing irregular Master's and PhD degrees and operating a university without accreditation.