Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Talai wasema wametengwa na serikali ya Kaunti ya Kericho

  • | Citizen TV
    227 views
    Duration: 1:08
    Wakazi wa Talai wadi ya Kapkukerwet eneo bunge la Ainamoi katika Kaunti ya Kericho wanaomba Serikali ya Kaunti hiyo ikarabati barabara mbovu eneo hilo.