Skip to main content
Skip to main content

Wakilishi wadi kutoka Gusii wataka kushauriana na rais kwa kuwa linahitaji ahadi na maendeleo

  • | Citizen TV
    568 views
    Duration: 1:52
    Siku chache baada ya muungano wa upinzani kukashifu mikutano inayoendelea katika ikulu ya Rais, zaidi ya wawakilishi wadi 100 kutoka Kisii na Nyamira wameapa kufanya mikutano na Rais William Ruto katika Ikulu kwa kile wananchokitaja kama kutafutia maeneo yao maendeleo zaidi.