Wanamibia wafurahia kuchaguliwa rais wa kwanza mwanamke
Netumbo Nandi-Ndaitwah amekuwa mwanamke wa kwanza kuchaguliwa kuwa rais nchini Namibia.
Nandi-Ndaitwah, mwenye umri wa miaka 72, aligombea urais kwa chama kinachotawala cha SWAPO.
Ushindi wake utaendeleza uitawala wa miaka 34 wa SWAPO madarakani, tangu Namibia ilipopata uhuru kutoka kwa Afrika kusini mwaka 1990.
Tume ya uchaguzi ya Namibia imetangaza matokeo rasmi yanayoonyesha kwamba amepata asilmia 57 ya kura.
Kulingana na katiba ya Namibia, mshindi wa kura za urais anahitajika kupata asilimia 50 ya kura.
Baada ya kutangazwa mshindi, Nandi – Ndaitwah amesema kwamba wapiga kura wa Namibia wamechagua amani na utulivu.
Amekuwa mwanachama wa SWAPO tangu miaka ya 1960 wakati chama hicho kilikuwa kinapigania uhuru na amehudumu katika nafasi mbalimbali za ngazi ya juu serikalini ikiwemo waiziri wa mambo ya nje.
Mshindani wake mkuu Panduleni Itula, wa chama cha Independent Patriots for Change (IPC), amemaliza katika nafasi ya pili kwa akiwa na asilimia 29 ya kura.
Chama cha IPC kimedai udanganyifu katika uchaguzi huo na kimesema kitapinga matokeo mahakamani.
Uchaguzi wa Nove 27 ulikumbwa na matatizo ya kiufundi na uhaba wa karatasi za kupigia kura na kupelekea matokeo kuchelewa kutangazwa.
- Vyanzo mbalimbali
#NetumboNandiNdaitwah #namibia #SWAPO #rais #uchaguzi #voa #voaswahili
18 Apr 2025
- The project had been ongoing for ten years.
18 Apr 2025
- The man is currently without his own home and is depending on others for housing.
18 Apr 2025
- The Kenya Met boss also listed counties that would experience very cold nights.
19 Apr 2025
- Canada's Prime Minister Mark Carney faced sustained attacks from his Conservative rival at an election debate Thursday, but the Liberal leader sought to focus attention on what he calls Canada's top threat, President Donald Trump.
19 Apr 2025
- Iran staged military parades on Friday to mark its annual Army Day celebrations, showcasing a wide array of its latest domestically built drones, missiles, tanks, and other hardware.
19 Apr 2025
- A woman is in custody after being found in possession of nearly 300 grams of cocaine, following a sting by a multi-agency security team targeting drug trafficking routes between Kenya’s Northern Frontier and the capital.
19 Apr 2025
- Idriss noted that the agency has observed a significant shift from development aid to investment-based financing, helping narrow the funding gap for well-prepared infrastructure projects.
19 Apr 2025
- Top county officials summoned in waste firm deal
19 Apr 2025
- After a 14-month hiatus, former Interior CS Fred Matiang'i, who left the country under a cloud of controversy after his home was raided by police, is back in the public sphere.
18 Apr 2025
- Detectives at the Kayole Police Station in Nairobi are holding a senior Imam for the offence of causing grievous harm to at least two persons.
18 Apr 2025
- Gas blast kills two, injures several in Embakasi South
18 Apr 2025
- Managing leg disorders in broiler chickens
18 Apr 2025
- Chaos erupted at the Kitale Museum on Friday afternoon as a modelling competition was violently disrupted by over 50 armed youths.