Skip to main content
Skip to main content

Wananchi watoa hisia kuhusu utendakazi wa Rais Ruto

  • | Citizen TV
    2,378 views
    Duration: 1:49
    Wakenya wametoa hisia mseto kuhusiana na uongozi wa serikali ya kenya kwanza na Rais William Ruto miaka mitatu baada ya kuchuma uongozi. Baadhi wanasema serikali imetekeleza majukumu katika baadhi ya sekta huku wengine wakisema mengi kuna mengi ambayo bado hayajafanyika.