Skip to main content
Skip to main content

Wazee wa watiriki wataka kulindwa kwa mila na ardhi takatifu

  • | Citizen TV
    823 views
    Duration: 2:58
    Majaji wa mahakama ya upeo sasa wametoa onyo kuhusu uchochezi dhidi ya tume ya IEBC huku taifa likijiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027. Majaji hao wamesema kuwa upungufu mkubwa wa uaminifu kati ya wakenya na IEBC umekuwa kwa muda mrefu na kutaka washikadau wote wakome kushambulia uhuru wa tume ya uchaguzi nchini IEBC.