Skip to main content
Skip to main content

Serikali yahimizwa kuweka hatua kali za kisheria kuondoa makundi laghai katika sekta ya ulinzi

  • | KBC Video
    108 views
    Duration: 3:19
    Serikali imehimizwa kuweka hatua kali za kisheria ili kuondoa makundi laghai katika sekta ya kibinafsi ya ulinzi. Haya yanafuatia malalamishi kwamba kuongezeka kwa kampuni ambazo hazijasajiliwa kunasababisha msongamano katika biashara, huku walinzi wa usalama wakiripotiwa kutolipwa kiwango cha mshahara kinachohitajika kisheria. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive