Skip to main content
Skip to main content

DCI wakagua simu ya Jirongo huku uchunguzi ukiendelea, Ruto atoa rambirambi zake

  • | Citizen TV
    10,129 views
    Duration: 1:46
    Maafisa wa upelelezi wa mauaji wanakagua simu ya marehemu Cyrus Jirongo huku uchunguzi w akifo chake ukiendelea. Aidha DCI wamemtaka dereva wa basi lililohusika kwenye ajali hiyo kufika kituoni kuhojiwa zaidi. Na kama anavyoarifu fraknlin wallah, haya yanajiri huku rais William Ruto akiitembelea familia ya marehemu Jirongo na kutoa rambirambi zake