Uamuzi wa kutatanisha wa refa katika mechi ya mpira wa miguu ulizua vurugu na mkanyagano katika mechi moja ya soka kusini mashariki mwa Guinea, na kuuwa watu 56 kulingana na idadi ya awali, serikali ilisema Jumatatu.
Uamuzi wa kutatanisha wa refa katika mechi ya mpira wa miguu ulizua vurugu na mkanyagano katika mechi moja ya soka kusini mashariki mwa Guinea, na kuua watu 56 kulingana na idadi ya awali, serikali ilisema Jumatatu.
Vifo vilitokea wakati mechi ya fainali ya mashindano ya kumuenzi kiongozi wa kijeshi wa Guinea Mamady Doumbouya katika uwanja wa michezo huko Nzerekore, mojawapo ya miji mikubwa ya taifa hilo.
Baadhi ya mashabiki walirusha mawe, jambo ambalo lilizua hofu na mshtuko, taarifa ya serikali ilisema, na kuahidi uchunguzi.
Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina afisa mmoja wa mji huo alisema waathirika wengi walikuwa Watoto waliojikuta katika ghasia hizo baada ya polisi kutumia mabomu ya kutoa machozi. Afisa huyo alielezea matukio ya mkanganyiko na vurugu huku baadhi ya wazazi wakichukua miili kabla ya kuhesabiwa rasmi. - Reuters
#guinea #football #voa
20 Apr 2025
- A 3-year-old boy was found dead in Wich-Lum area, Siaya County on Saturday evening. The toddler is suspected to have been murdered by his father following a domestic squabble.
20 Apr 2025
- At least 11 people, including three children, were killed in New Delhi Saturday after a residential building collapsed on the outskirts of the Indian capital, local reports and authorities said.
20 Apr 2025
- The US Supreme Court, in a dramatic nighttime intervention Saturday, blocked President Donald Trump's unprecedented use of an obscure law to deport Venezuelan migrants without due process.
20 Apr 2025
- Pope Francis is expected to delight Catholics all over the world during Easter celebrations at the Vatican on Sunday, just weeks after he was fighting for his life in hospital while suffering from pneumonia.
20 Apr 2025
- Global tax plans targeting billionaires and multinational companies are running aground, with the United States torpedoing reforms under President Donald Trump.
20 Apr 2025
- The Christian Easter season reminds us of the elusive search for the ideal universe. Ultimately, it is a universe that holds society in sacred esteem.