- 121 views
Familia moja eneo la Thingithu mjini Nanyuki kaunti ya Laikipia inatafuta usaidizi wa kifedha kumsaidia jamaa wao kufanyiwa upasuaji kuokoa maisha yake. Beatrice Mwangi amekuwa akipitia uchungu mwingi ambao umemsababisha kufika hospitalini mara kwa mara, hatua ambayo imeigharimu pakubwa familia hiyo. Beatrice ambaye anaugua ugonjwa wa Endometrial hyperplasia' unaosababisha utando wa nyumba ya uzazi kunenepa kupita kiasi, sasa amewaomba wahisani kumsaidia kuchangisha pesa ili kumwezesha kufanyiwa upasuaji huo.
Msaada unatumwa kwa Beatrice Mwangi , 0710309719
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Familia moja Nanyuki yaomba msaada wa kifedha jamaa wao kufanyiwa upasuaji
- 3 Mar 2025 - The High Court has declined to grant former Kiambu Governor Ferdinand Waititu bail pending his appeal, stating that he has not presented sufficient grounds to warrant his release.
- 3 Mar 2025 - ODM National Chairperson Gladys Wanga has expressed concerns over former Deputy President Rigathi Gachagua's recent utterances over a guaranteed victory in the next elections for the party supported by the Gikuyu, Embu, Meru and Akamba (GEMA) communities.
- 3 Mar 2025 - The Ministry of Foreign and Diaspora Affairs has confirmed that 64 Kenyans rescued from scam compounds in Myanmar will soon return home after crossing into Thailand.
- 3 Mar 2025 - Murang'a Senator Joe Nyutu has opined that opposition leader Raila Odinga will soon yield more power than President William Ruto.
- 3 Mar 2025 - Justice Lucy Njuguna said the applicant had not convinced the court that his appeal had high chances of success.
- 3 Mar 2025 - Gachagua over the weekend cautioned President William Ruto against visiting Meru region.
- 3 Mar 2025 - Justice Njuguna says he did not raise substantial points to warrant his release.
- 3 Mar 2025 - The Jua Kali artisan's story highlights Ruto's affordable housing program as a gamechanger and beacon of hope for Kenyans.
- 3 Mar 2025 - The vehicles are available in different categories including SUVs, transportation, and heavy commercial cars.
- 3 Mar 2025 - Auditor report shows that Sh483m was paid to entities not selected through competitive process.