Mpox yazidi, huku vita vikiendelea DRC, katika Dira ya Dunia TV
Mapigano kati ya jeshi la serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda yanaendelea mashariki mwa nchi hiyo huku maafa yakiripotiwa Goma. Huku waasi wa M23 wakiendeleza hatua yao ya kuteka maeneo kadhaa ya mashariki mwa DRC, vita hivi vimeacha janga la kibinadamu na pia kuathiri pakubwa mipango ya kutoa huduma za matibabu na kuwapa chanjo watu walio katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa wa Mpox. Hospitali zimekosa dawa huku wagonjwa waliokuwa wametengwa wakitoroka kutoka vituo vya matibabu kwa hofu ya mapigano.
3 Mar 2025
- KUSSCO was rocked with a multi-billion scandal in February.
3 Mar 2025
- The MCA was arrested for allegedly forging academic papers and an advocate's stamp.
3 Mar 2025
- McCarthy was unveiled on Monday, March 3, at the Serena Hotel
4 Mar 2025
- The earth-shattering moment I realised university students are just as lost as their high school selves.
4 Mar 2025
- Gachagua’s camp working on a plan to instigate multiple by-elections in the region.
4 Mar 2025
- On that day, Kenya Air Force jets roared over Nairobi as Jomo Kenyatta, in military uniform, stood resolutely on a dais.
4 Mar 2025
- University Vice-Chancellor maintains that he is due for retirement in January 2026.
4 Mar 2025
- Western democratic model isn't working for us; let's rethink it
4 Mar 2025
- 16 years on, journalist's murder cover up exposes legacy of fear and silence
4 Mar 2025
- Parents, learners bear the burden of financial crisis in public schools
4 Mar 2025
- Sakaja regrets garbage dumping as two senior officials interdicted
4 Mar 2025
- Court denies Waititu bail in his appeal against 12-year jail term
4 Mar 2025
- Raila demands implementation of NADCO report