- 211 views
Serikali imetangaza kuwa ina mipango ya kununua ngano kutoka kwa wakulima kupitia halmashauri ya nafaka na mazao NCPB.. Katika mkutano wa wadau wa kilimo, waziri Mutahi Kagwe amesema serikali itanunua magunia elfu 321 za ngano kutoka kwa wakulima wanaotatizika kwa kukosa soko..Wakulima hao wakitakiwa kuwasilisha mazao yao kwa maghala ya NCPB kuanzia kesho jumanne..Kulingana na waziri wakulima watalipwa katika muda wa siku 30 baada ya kuwasilisha ngano kwa NCPB. Mbali na hayo NCPB itatia saini mkataba wa maelewano na wasagaji nafaka ili kuhakikisha ngano inachukuliwa na malipo kutolewa katika muda wa wiki tatu
Serikali kununua ngano
- - Duniani Leo ››
- 4 Mar 2025 - Karua cast a figure of a person ready to do more listening, negotiation and coalition building
- 4 Mar 2025 - Sunday, March 2, marked the 50th anniversary of his assassination.
- 4 Mar 2025 - Agreement with Dutch manufacturer covers diabetes and hypertension
- 4 Mar 2025 - The senior official, who was fronted by a former high-ranking operative, is unlikely to survive the looming sack.
- 4 Mar 2025 - Defending national women volleyball champion Kenya Pipeline is the team to beat at the ongoing CAVB Zone V Club Championships currently ongoing Uganda, having yet to lose a match. The2024 tournament winners are eyeing a double and their immaculate 3-1(25…
- 4 Mar 2025 - Donald Trump's latest tariff hike targeting China is likely only the start of his intensifying trade war against Beijing, which may struggle to shield its already ailing economy, analysts warned.
- 4 Mar 2025 - Former deputy president Rigathi Gachagua has initiated a political strategy aimed at simultaneously challenging President William Ruto’s allies in Mt Kenya.
- 4 Mar 2025 - Residents of the Canadian border city of Windsor had held out hope US President Donald Trump's threats of tariffs on imports from Canada would prove hollow, but that faith was dashed Monday, sparking fear for their futures. Trump's decision is "not even…
- 4 Mar 2025 - Bitcoin's price plunged nearly 10 percent on Monday as an escalating trade war and uncertainty over creation of a US crypto reserve fund sent investors running from risk. Cryptocurrency prices had climbed early Monday, buoyed by Trump the previous day…
- 4 Mar 2025 - New Harambee Stars head coach Benni McCarthy believes Kenya can still qualify for the 2026 FIFA World Cup that will be co-hosted by Canada, Mexico, and the United States. The 47-year-old was officially unveiled as the new coach after signing a contract…