Je, Ukraine itapona baada ya kuungwa mkono na Ulaya?
Baada ya siku kadhaa zilizojaa mihemko ambapo uhusiano kati ya Marekani na Ukraine ulitikisika kutokana na majibizano ya viongozi wa mataifa hayo, Rais Volodymr Zelensky amesema kwamba anahitaji hakikisho la usalama kama jambo muhimu. Amesema pia kwamba Ukraine inahitaji amani, na sio vita visivyokuwa na kikomo. Haya yanajiri baada ya viongozi kutoka bara Ulaya kukutana na kumuunga mkono Rais Zelensky katika kongamano maalum kuhusu vita vya Ukraine na kuhusu mbinu za kusitisha vita dhidi ya Urusi.
3 Mar 2025
- KUSSCO was rocked with a multi-billion scandal in February.
3 Mar 2025
- The MCA was arrested for allegedly forging academic papers and an advocate's stamp.
3 Mar 2025
- McCarthy was unveiled on Monday, March 3, at the Serena Hotel
4 Mar 2025
- On that day, Kenya Air Force jets roared over Nairobi as Jomo Kenyatta, in military uniform, stood resolutely on a dais.
4 Mar 2025
- University Vice-Chancellor maintains that he is due for retirement in January 2026.
4 Mar 2025
- 16 years on, journalist's murder cover up exposes legacy of fear and silence
4 Mar 2025
- Parents, learners bear the burden of financial crisis in public schools
4 Mar 2025
- Sakaja regrets garbage dumping as two senior officials interdicted
4 Mar 2025
- Court denies Waititu bail in his appeal against 12-year jail term
4 Mar 2025
- Raila demands implementation of NADCO report
4 Mar 2025
- Western democratic model isn't working for us; let's rethink it
4 Mar 2025
- More often than not, Ruto has found himself on the receiving end over some of his directives, sometimes finding himself at the center of ridicule from Kenyans.
4 Mar 2025
- An American is trying to recover his money and hopes the authorities, including the DCI, will help him get justice.