- 51 views
Baadhi ya viongozi wa kisiasa na wadau katika sekta ya elimu katika kaunti ya Nandi, wameibua wasiwasi kuhusiana na utayari wa serikali wa kufanikisha mpito wa wanafunzi wa gredi ya 9 hadi shule za Senior Sekondari, ulioko chini ya mtaala mpya wa masomo-CBC mwaka ujao. Wakiongozwa na mbunge wa Aldai Marianne Kitany na gavana wa Nandi Stephen Sang, viongozi hao walihoji utayari wa shule, walimu na sera zilizopo katika utekelezwaji wa mpito huo
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wasiwasi waibuka kuhusu kujiandaa kwa mpito wa gredi ya 9
- 25 Mar 2025 - The High Court has put a stop to any further investigations into the operations of Nairobi Hospital.
- 25 Mar 2025 - Shabiki.com made a significant impact in Tiaty Constituency, Baringo County, by donating 10,000-litre water tanks to various schools in the region.
- 25 Mar 2025 - The trial of Cholo Abdi Abdullah, a Kenyan national convicted of planning a 9/11-style attack in the United States, has been postponed to April 7, 2025, following his request for new lawyers.
- 25 Mar 2025 - Police are investigating the case as a love triangle with deadly consequences.
- 25 Mar 2025 - There were claims of ticket hoarding ahead of Kenya's World Cup qualifier against Gabon.
- 25 Mar 2025 - Kenyans have been complaining of expensive loans despite CBK lowering its lending rate.
- 25 Mar 2025 - Mwea-West Subcounty police commander Rashid Ali said residents will be served by Rukanga police post
- 25 Mar 2025 - Authorities found that the church coerced followers into buying expensive items.
- 25 Mar 2025 - Former Jubilee Secretary General Raphael Tuju wants the Ethics and Anti-corruption Commission (EACC) to probe Supreme Court judges over misconduct and unethical behaviour.
- - IEBC chairperson vetting continues, with Jacob Ngwele now being interviewed