- 44 views
Jamii za wafugaji wa kuhamahama zimehimizwa zidhibiti matumizi ya moto kwenye maeneo ya malisho ili kuepusha visa vya moto ambavyo vimeshuhudiwa hivi maajuzi kwenye baadhi ya sehemu za kaunti za Isiolo na Samburu. Akizunguma kwenye shule ya Ntalabany Comprehensive katika eneo la Leparua, afisa wa uhifadhi wa misiti katika eneo la Isiolo kwa kanda ya Ewaso kaskazini, Allan Ongere alisema kuwa katika miezi ya hivi maajuzi zaidi ya hekta 500 za ardhi ziliteketea katika kaunti ya Samburu huku zaidi ya hekta elfu-5 za ardhi ya malishe ziliteketea katika maeneo ya Merti na Sericho huko Isiolo, huku moto ukiteketea kwa zaidi ya juma moja.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Jamii za wafugaji zahimizwa kuzima moto wakishamaliza kutumia
- 25 Mar 2025 - The High Court has put a stop to any further investigations into the operations of Nairobi Hospital.
- 25 Mar 2025 - Shabiki.com made a significant impact in Tiaty Constituency, Baringo County, by donating 10,000-litre water tanks to various schools in the region.
- 25 Mar 2025 - The trial of Cholo Abdi Abdullah, a Kenyan national convicted of planning a 9/11-style attack in the United States, has been postponed to April 7, 2025, following his request for new lawyers.
- 25 Mar 2025 - Former Jubilee Secretary General Raphael Tuju wants the Ethics and Anti-corruption Commission (EACC) to probe Supreme Court judges over misconduct and unethical behaviour.
- - IEBC chairperson vetting continues, with Jacob Ngwele now being interviewed
- 25 Mar 2025 - The convicted individual was involved in fraudulent activities while serving as the in-charge of Central Food Stores at Kenyatta University.
- 25 Mar 2025 - Francis, 88, returned to the Vatican on Sunday after the most serious health crisis of his 12-year papacy.
- 25 Mar 2025 - The gangs have been terrorizing the county's residents for years.
- 25 Mar 2025 - Kissinger, who serves as Resource Mobilization Secretary in the Interior Ministry, maintained that his extensive experience and DPP's discontinuation of the graft case make him a credible candidate to lead the electoral body.
- 25 Mar 2025 - She is believed to have been accosted and slain by her ex-husband