Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Nyamira inakabiliwa na changamoto za ufadhili kufuatia kuondolewa kwa ufadhili na USAID

  • | Citizen TV
    216 views
    Duration: 1:25
    Kaunti ya Nyamira inakabiliwa na changamoto za ufadhili, kufuatia kuondolewa kwa ufadhili wa miradi mbalimbali ya afya uliokuwa unatolewa na serikali ya Marekani kupitia shirika la USAID.