Skip to main content
Skip to main content

Waziri wa madini Ali Hassan Joho amewahakikishia Wakenya kuwa uchombaji wa madini itakuwa wazi

  • | Citizen TV
    1,580 views
    Duration: 1:32
    Waziri wa madini Ali Hassan Joho amewahakikishia Wakenya kuwa uchombaji wa madini ya dhahabu yaliyopatikana Ikolomani, kaunti ya Kakamega utafanywa kwa uwazi. Akizungumza kwenye mahojiano ya Maskani na Rashid , Joho aliwataka wakenya kuiruhusu serikali kutumia raslimali zilizopo nchini kubadilisha hali yao ya kiuchumi. Aidha Joho ameonya dhidi ya siasa kutumiwa kutishia uwekezaji.