Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #1 ($view) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #2 ($query) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: Undefined property: Drupal\views\ViewExecutable::$name in mycustom_views_query_alter() (line 10 of modules/custom/mycustom/mycustom.module).
Washukiwa 51 wakiwemo watoto wanaohusishwa na ghasia jimbo la Plateau wakamatwa
Polisi nchini Nigeria katika jimbo la Plateau, Nigeria waliwapanga mstari washukiwa 51 kati yao watoto wanaotuhumiwa kusababisha ghasia wakati wa maandamano ya hivi karibuni yaliyofanyika katika majimbo kadhaa hususan upande wa kaskazini mwa nchi.
Vijana wengi walimiminika mitaani wiki iliyopita Alhamisi katika miji mikubwa kupinga hali ngumu ya uchumi na ukosefu wa usalama.
Serikali ilisema maandamano katika majimbo mengi ikiwemo la Plateau yalitekwa nyara na kile vyombo vya usalama walichokielezea ni magenge ya wahuni ambao wanadaiwa kuiba na kuharibu mali za serikali na watu binafsi.
Baadhi ya washukiwa waliokamatwa na kufikishwa Mahakama Kuu ya jimbo wanakabiliwa na mashtaka yanayo husiana na kupeperusha bendera za Russia wakati wa maandamano.
“Ninatoa onyo kali kwa wale wote wanaofanya ghasia na maadui wa jimbo tafadhali waondoke na kuliacha jimbo la Plateau.”
Msemaji wa Kituo cha Polisi Jimbo la Plateau, Naibu Mkuu wa Polisi, Alfred Alabo aliiambia VOA.
Shirika la Amnesty International limeishutumu mamlaka kwa kutumia nguvu na hata risasi za moto kuvunja maandamano yaliyopangwa kumalizika Jumamosi.
#nigeria #russia #tinubu #voa
23 Oct 2024
- A section of Kiambu preachers has expressed frustration over what they claim is state interference with their church duties, with some claiming that local chiefs are now demanding explanations on sermons and congregants in attendance.
23 Oct 2024
- The Teachers Service Commission (TSC) on Wednesday said it received 314,117 applications for 46,000 advertised teacher posts between October 1 and 8.
23 Oct 2024
- Director of Criminal Investigations (DCI) Mohamed Amin was taken to task by Senators to explain the recent mysterious disappearances that have gripped the nation in the past five years.
23 Oct 2024
- Mining and Blue Economy CS Ali Hassan Joho has urged Kenyans to invest in the mining sector to capitalise on the lucrative opportunities the industry has to offer.
23 Oct 2024
- Four senior Taita Taveta County officials arrested on Tuesday over the alleged theft of Ksh.7 million public funds in the pretext of commemorating the First World War are due in court on Wednesday.
23 Oct 2024
- The national women’s soccer team,Harambee Starlets will play Chinese Taipei in their opening encounter of the 9-day Pink Ladies Soccer Tournament in Antalya Turkey.The match is scheduled today kicking off at 4pm East Africa Time. The three day…
23 Oct 2024
- The national women’s soccer team,Harambee Starlets will play Chinese Taipei in their opening encounter of the 9-day Pink Ladies Soccer Tournament in Antalya Turkey.The match is scheduled today kicking off at 4pm East Africa Time. The three day…