- 392 views
Wakulima mjini Garissa, wanalilia haki baada ya bwanyenye mmoja kudaiwa kutishia kuwafurusha kutoka kwenye kipande chao cha ardhi. Wakulima hao ambao ni wanachama wa shamba la Maramtu wanadai kuwa bwanyenye huyo ana mazoea ya kuwatumia maafisa wa polisi kuwatishia kuhama kutoka kwenye shamba hilo la hekari 150 ambalo wanasema walirithi kutoka kwa mababu zao.Wanasema wamejenga makaazi yao ya kudumu kwenye kipande hicho na hawatakubali kufurushwa.Sasa wanataka wakuu wa usalama kuingilia kati na kuzuia maafisa wake kutumiwa vibaya huku wakitafuta haki mahakamani.
Wakulima Garissa wanadai bwanyenye mmoja anatishia kuwafurusha
- 7 Oct 2024 - Former Kiambu Governor William Ruto has lifted the lid on circumstances under which President William Ruto picked Rigathi Gachagua as his deputy.
- 7 Oct 2024 - The 47 Governors of Kenya are set to elect new leadership to steer the Council of Governors for the next two years.
- 7 Oct 2024 - Diana Gichengo, the national coordinator of The Institute for Social Accountability (TISA) has called for a parallel impeachment motion against President William Ruto arguing that he has also violated the Constitution.
- 7 Oct 2024 - The High Court has for the second time declined to grant orders stopping the impeachment proceedings on Deputy President Rigathi Gachagua.
- 7 Oct 2024 - A total of 69% of Mt Kenya residents are against the impeachment motion which is almost twice the national average.
- 7 Oct 2024 - Waiguru, who served in the position for the last two years, reached the end of her term.
- » Industry producers must take responsibility of their packaging material in Nairobi Rivers, says CS Duale7 Oct 2024 - Government will gazette the Extended Producer Responsibility (EPR) regulations to ensure accountability and effective implementation. This is according to the Environment, Climate Change and Forestry Cabinet Secretary Aden Duale who was speaking during a…
- 7 Oct 2024 - Political activist Morara Kebaso has narrated the insight behind the harrowing attack he experienced during a public participation exercise held at the Bomas of Kenya to debate the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua.
- 7 Oct 2024 - The Deputy President was accused of illegally acquiring the property using ill-acquired public wealth.
- 7 Oct 2024 - Reports indicated that Raila had ordered ODM MPs for a strategy meeting today.