- 8 views
Mwenyekiti wa kamati ya bunge la taifa kuhusu bajeti na makadirio ya fedha za serikali, Ndindi Nyoro amekariri kujitolea kwa kamati hiyo kuisadia afisi ya mkaguzi mkuu wa fedha za serikali kuhakikisha raslimali za umma zinatumiwa ipasavyo kwa manufaa ya wananchi. Kwenye kikao cha mawasilishao ya ripoti ya mkaguzi mkuu wa fedha za serikali Nancy Gathungu katika hoteli moja mjini Mombasa, Nyoro alisema jukumu kuu la afisi ya mkaguzi mkuu wa fedha ni kuwajibisha serikali iwapo matumizi ya fedha za serikali yataendelea kuongezeka.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Bunge kuhakikisha fedha za umma zinatumiwa ipasavyo
- 5 Feb 2025 - It will now be easy for residents of border counties to acquire national Identity (ID) cards after President William Ruto signed a proclamation on Wednesday scrapping a 60-year old vetting requirement.
- 5 Feb 2025 - Nearly 40,000 Kenyans whose jobs are supported by the USA government aid are staring at possible job losses following the government’s move to shut down overseas mission and merge USAID with the State Department.
- 5 Feb 2025 - African nations have been urged to take ownership of their climate action priorities in response to the escalating economic strain caused by climate shocks.
- 5 Feb 2025 - As the world mourns the spiritual leader of Ismaili Muslims and businessman His Highness the Aga Khan IV, the Kenyan media space has similarly felt a weighty dent.
- 5 Feb 2025 - Former President Uhuru Kenyatta has mourned His Highness the Aga Khan, remembering him as a close friend and confidant, a visionary leader and a philanthropist.
- 5 Feb 2025 - Niwax Solutions Limited Director Michelle Wanjiru Ngaruiya has been charged with seven counts of tax fraud.
- 5 Feb 2025 - She was to appear before the Commission today.
- 5 Feb 2025 - A multi-billion commercial loan from the United Arab Emirates is also on the cards.
- 5 Feb 2025 - The commission says the lyrics are likely to incite hostility
- 5 Feb 2025 - The governor issued the directive with dire consequences for those who fail obey.