Sudan: Vita visivyoisha Afrika vinaelekea wapi?
Kwa zaidi ya miongo miwili, eneo la Darfur nchini Sudan limekuwa kitovu cha vita vilivyoikumba nchi hiyo. Leo, mgogoro huo umebadilika, huku majenerali wawili wa jeshi wakihusika katika mapambano ya madaraka wakitafuta udhibiti.
-
Rasilimali za thamani za Darfur na njia zake muhimu za biashara zimeifanya kuwa ardhi inayomezewa mate.
-
Hata hivyo, ghasia za kikabila na maslahi ya kimataifa zimeugeuza ukanda huo kuwa kitovu cha machafuko, ambapo njaa na mauaji ya kimbari yanaendelea kwa mara nyingine tena.
00:01 Utangulizi wa Darfur
01:05 Historia fupi, nani anapigana na imefikaje hapa
02:43 Eneo la kimkakati
08:19 Vurugu za kikabila
12:33 Hali ya kibinadamu
14:50 Athari ya vita mpaka sasa
15:55 Hali ilivyo Sudan kwa sasa
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
2 Apr 2025
- On Tuesday, Kalonzo had threatened to go to court.
2 Apr 2025
- Landlords and other property owners are set to enjoy this temporary relief.
2 Apr 2025
- This follows opposition threats to sue, accusing Ruto and Raila of influencing the process without their input.
2 Apr 2025
- President William Ruto has tasked his deputy Kithure Kindiki with the role of eliminating cartels that are taking advantage of miraa farmers.
2 Apr 2025
- ODM party has told off opposition leaders Kalonzo Musyoka, Martha Karua, and Eugene Wamalwa over claims that ODM and UDA are interfering with the ongoing reconstitution process of the IEBC.
2 Apr 2025
- The Congo government and Rwanda-backed M23 rebels aim to hold direct talks on April 9, sources from both camps said on Tuesday, a potential boost to Qatar's efforts to end the Central African country's worst fighting in decades.
2 Apr 2025
- Energy Cabinet Secretary Opiyo Wandayi has reaffirmed the government’s commitment to ensuring universal access to affordable electricity through the rural electrification programme.
2 Apr 2025
- A section of Machakos County Assembly members (MCAs) has dismissed a move to impeach Speaker Ann Kiusya, terming it a "witch hunt" by Governor Wavinya Ndeti and the majority side.
2 Apr 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga's long-serving bodyguard and personal aide George Odiwuor has passed on at the Nairobi West Hospital.
2 Apr 2025
- Former Prime Minister Raila Odinga's long-serving bodyguard and personal aide George Odiwuor has passed on at the Nairobi West Hospital.
2 Apr 2025
- Three suspects have been arrested and a large consignment of suspected cannabis sativa nabbed following a crackdown by the National Authority for the Campaign Against Alcohol and Drug Abuse (NACADA) in Mwamogeza Village, Kisii County.
2 Apr 2025
- Boulos and Sanders will visit the DR Congo, Rwanda, Kenya and Uganda.
2 Apr 2025
- However, the prime suspect, Geoffrey Nyabira, alias Jeff, managed to evade capture.