- 44 views
Jamii za wafugaji wa kuhamahama zimehimizwa zidhibiti matumizi ya moto kwenye maeneo ya malisho ili kuepusha visa vya moto ambavyo vimeshuhudiwa hivi maajuzi kwenye baadhi ya sehemu za kaunti za Isiolo na Samburu. Akizunguma kwenye shule ya Ntalabany Comprehensive katika eneo la Leparua, afisa wa uhifadhi wa misiti katika eneo la Isiolo kwa kanda ya Ewaso kaskazini, Allan Ongere alisema kuwa katika miezi ya hivi maajuzi zaidi ya hekta 500 za ardhi ziliteketea katika kaunti ya Samburu huku zaidi ya hekta elfu-5 za ardhi ya malishe ziliteketea katika maeneo ya Merti na Sericho huko Isiolo, huku moto ukiteketea kwa zaidi ya juma moja.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Jamii za wafugaji zahimizwa kuzima moto wakishamaliza kutumia
- 23 Mar 2025 - The M23 armed group on Sunday remained in the town of Walikale which it recently captured in eastern Democratic Republic of Congo, despite announcing it planned to withdraw to further peace talks.
- 23 Mar 2025 - Angry residents of Matungulu, Machakos County on Sunday protested alleged sidelining in development projects.
- 23 Mar 2025 - Several passengers and the driver sustained injuries from the early morning accident.
- 23 Mar 2025 - Uhuru stated that retirement was a good thing especially when one retires when they are strong.
- 23 Mar 2025 - Police intervened to ensure his safety and they walked him out to his vehicle.
- 23 Mar 2025 - Kenyan national team lost their World Cup qualifier game against Gabon in a game that ended 2-1.
- 23 Mar 2025 - Friends and former colleagues have paid tribute, calling him "a lovely man and a great broadcaster".
- 23 Mar 2025 - The unfolding power struggle is reshaping alliances, leaving many leaders uncertain ahead of 2027 polls
- 23 Mar 2025 - The incident took place in Mbai Farm Village, Kiminini Ward, Kiminini Constituency.
- 23 Mar 2025 - Homicide detectives have taken over the probe into the mysterious murder of 29-year-old Naomi Wangare Mwangi, who was raped and killed in Nairobi's Embakasi estate by unknown assailants.