- 4 views
Serikali ya kaunti ya Machakos imefungua kituo cha afya kilichojikita katika hospitali ya Machakos Level -5 katika juhudi za kuimarisha huduma za afya katika kaunti hiyo.Gavana wa kaunti ya Machakos Wavinya Ndeti amesema kituo hicho kinanuiwa kukomesha msongamanao wa wagonjwa na kuwapa nafasi wataalamu wa afya kushughulikia hali za afya zinazohitaji matibabu maalum. Ndeti alisema kucheleweshwa kwa utekelezaji wa halmashauri ya Afya ya Jamii, SHA, kumesababisha changamoto katika mfumo wa kugharamia matibabu. Alisisitiza haja ya kuharakishwa kwa mchakato wa kuwianisha mfumo wa afya wa serikali za kaunti na ule wa halmashauri ya SHA ili kuboresha utoaji huduma.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kituo kipya cha matibabu chajengwa Machakos
- 4 Feb 2025 - A 7-year-old girl has died after being poisoned by her father, who reportedly mixed petrol with an unknown chemical following an alleged disagreement with his ex-wife, in Minyere village, in Ndhiwa, Homabay County.
- 4 Feb 2025 - Uganda has deployed more than 1,000 extra soldiers into east Congo in the last week near an area where the Kinshasa government is fighting M23 rebels, four diplomatic and U.N. sources said, heightening fears of a regional escalation.
- 4 Feb 2025 - A suspected chicken thief has been lynched at Diambo Estate in Ngurubani town in Mwea-East sub-county, Kirinyaga County.
- 4 Feb 2025 - The move comes after members of the county government were arrested for stealing medical supplies.
- 4 Feb 2025 - For years, a section of Kenyans had lamented extreme scrutiny when applying for National Identification Cards.
- 4 Feb 2025 - Milka Moraa, the woman whose public humiliation by televangelist Pastor Ng'ang’a highlighted the struggles of Nairobi’s slum dwellers, is now poised for a fresh start.
- 4 Feb 2025 - Equity Bank Kenya has unveiled a Ksh 2.6 billion ($20m) Risk Sharing Facility aimed at enhancing financial inclusion in 14 marginalized counties. The initiative targets to empower those living in underserved areas such as refugees and their host…
- 4 Feb 2025 - A multi-agency security team raided Oromo Liberation Army (OLA) hideouts in Sololo and Merti in Marsabit and Isiolo counties respectively, on Tuesday, as part of the National Police Service's (NPS) Operation Ondoa Jangili, which was launched on Monday to…
- 4 Feb 2025 - The African Trade and Investment Development Insurance (ATIDI) is keen to facilitate the privatisation of state owned enterprises in Kenya. ATIDI Chief Underwriting Officer Benjamin Mugisha says the firm will leverage experience in handling similar…
- 4 Feb 2025 - Kakamega has about 8,000 miners who are operating illegally exposing life and environment to danger.