Skip to main content
Skip to main content

Mahakama ya leba yatamka IGP ndiye mwenye mamlaka ya kuajiri na kufuta maafisa wa polisi

  • | Citizen TV
    957 views
    Duration: 2:26
    Inspekta jenerali wa polisi ndiye mwenye mamlaka ya kuwaajiri, kuwafuta na kuwahamisha maafisa wa polisi. Haya ni kwa mujibu wa mahakama ya leba ambayo imetoa uamuzi huo kufuatia mgogoro kati ya Tume ya Kitaifa ya huduma za polisi NPSC - na idara ya polisi. Mahakama imesema kuwa NPSC haina mamlaka ya kuajiri maafisa wa polisi na kubatilisha tangazo la zoezi la usajili wa makurutu. NPSC pia imepigwa marufuku kupandisha cheo maafisa wa polisi