Skip to main content
Skip to main content

Mazungumzo kati ya wahadhiri na serikali yavunjika, serikali yapendekeza kulipa madai mara mbili

  • | Citizen TV
    1,988 views
    Duration: 3:09
    Mazungumzo kati ya wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma na serikali yamekosa muafaka, wahadhiri wakisisitiza kuwa hawarejei vyuoni hadi serikali itekeleze matakwa yao. Serikali imeonekana kulegeza kamba na kupendekeza kulipa shilingi bilioni 7.9 wanazodai wahadhiri kwa awamu mbili badala ya tatu. Miungano ya uasu na kusu itafanya mikutano usiku w aleo na ijumaa kujadili mapendekezo ya serikali