- 377 viewsMkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Amimza Cafe iliyoko Mkoa wa Kagera, Amiri Hamza, amesema kuwa bila maboresho ya sera, taifa litaendelea kushindwa kuongeza thamani ya mazao ya kilimo. Amesema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania. Hamza amehimiza serikali na wadau kushirikiana kurekebisha sheria ili kuwapa vijana fursa zaidi kwenye sekta ya kahawa. “kufikia 2030 vijana wataweza kunufaika na zao la kahawa kwa ajira na mengineyo Kama tukibadilisha kanuni na sheria za mfumo wa fedha nchini, tusipo badili tutaendelea kuangaika na kulalamika kuhusu kuongeza thamani ya mazao yetu ya kilimo,” amesema Hamza Ili kuhakikisha sekta ya kahawa inachangia ipasavyo katika uchumi wa Afrika viongozi wa nchi 25 wameazimia kuhamasisha matumizi ya kahawa ndani ya bara na kuongeza ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi. Pia wamependekeza kuanzishwa kwa vituo vya umahiri na utafiti wa kahawa. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #tanzania #kahawa #amimzacafe #amirihamza #sera #serikali #voa #voaswahili #ushindani
Mdau aishauri serikali namna ya kuongeza thamani mazao ya kilimo
- - Hali ya AFC Leopards ››
- 31 Mar 2025 - The advisory encourages citizens to stay informed by following local news and official alerts for updates on aftershocks and emergency response efforts.
- 31 Mar 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has asked President William Ruto to launch his new projects in the Mount Kenya region and stop what he calls riding on his predecessor Uhuru Kenyatta’s old projects.
- 31 Mar 2025 - The head of the junta in Burkina Faso has pardoned 21 soldiers convicted of involvement in a failed coup in 2015, according to an official decree seen by AFP on Monday.
- 31 Mar 2025 - Kipchoge is in the twilight years of his career.
- 31 Mar 2025 - He has continued to use social media for activism campaigns, particularly on human rights, even after the interdiction.
- 31 Mar 2025 - President William Ruto on Monday, March 31, 2025, evening arrived at the Sagana State Lodge ahead of the highly anticipated Mount Kenya regional tour which will see him traverse nine counties in the expansive, vote-rich region. A video seen by People…
- 31 Mar 2025 - Implementation of the controversially amended union constitution has been suspended.
- 31 Mar 2025 - Wetang'ula said Bungoma county should present a minimum of one million registered voters.
- 31 Mar 2025 - "I will be here for five days, are you ready? Have you prepared?"
- 31 Mar 2025 - Over the last four days, Gachagua has emerged into the political arena after weeks of a short break.