- 7 viewsMkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Amimza Cafe iliyoko Mkoa wa Kagera, Amiri Hamza, amesema kuwa bila maboresho ya sera, taifa litaendelea kushindwa kuongeza thamani ya mazao ya kilimo. Amesema hayo katika mkutano wa tatu uliowakutanishi viongozi wa nchi 25 wanaozalisha zao hilo barani Afrika kuanzia tarehe 21-22, Februari, katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huu umeandaliwa na serikali ya Tanzania. Hamza amehimiza serikali na wadau kushirikiana kurekebisha sheria ili kuwapa vijana fursa zaidi kwenye sekta ya kahawa. “kufikia 2030 vijana wataweza kunufaika na zao la kahawa kwa ajira na mengineyo Kama tukibadilisha kanuni na sheria za mfumo wa fedha nchini, tusipo badili tutaendelea kuangaika na kulalamika kuhusu kuongeza thamani ya mazao yetu ya kilimo,” amesema Hamza Ili kuhakikisha sekta ya kahawa inachangia ipasavyo katika uchumi wa Afrika viongozi wa nchi 25 wameazimia kuhamasisha matumizi ya kahawa ndani ya bara na kuongeza ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi. Pia wamependekeza kuanzishwa kwa vituo vya umahiri na utafiti wa kahawa. Ripoti ya Amri Ramadhani, VOA, Tanzania. #tanzania #kahawa #amimzacafe #amirihamza #sera #serikali #voa #voaswahili #ushindani
Mdau aishauri serikali namna ya kuongeza thamani mazao ya kilimo
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 27 Feb 2025 - As the tussle of wills between the Ministry of Health and service providers in the country rages on, health economists have blamed the challenges that bedevil the health sector on the government’s decision to rush the rollout.
- 27 Feb 2025 - The Kenya Kwanza administration's new funding model has yet again suffered a major setback after the High Court put more brakes on the government's funding model, leaving more than 400,000 students in limbo.
- 26 Feb 2025 - Agriculture Cabinet Secretary Mutahi Kagwe and Narok Governor Patrick Ole Ntutu led high-level discussions at Kilimo House, Nairobi, to address the ongoing dispute affecting wheat farmers.
- 26 Feb 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetangula has ordered the summoning of the Inspector General of Police Douglas Kanja to shed light on the dumping of garbage outside Stima Plaza on Monday.
- 26 Feb 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetangula wants the Inspector General of Police summoned over the impasse between Kenya Power and Lighting Company (KPLC) and Nairobi County that resulted in the garbage dumping incident. On Wednesday, Speaker Wetangula…
- 26 Feb 2025 - The Judicial Service Commission (JSC) will not be hearing petitions seeking the removal of the Chief Justice and Supreme Court judges.
- 26 Feb 2025 - A committee was formed to restore trust in agreement signed in 2010
- 26 Feb 2025 - Two bodies have been recovered as the search for the missing Kenyans who went missing after they came under attack from suspected Dassanech militia from Ethiopia, in Todonyang along the Kenya-Ethiopia border, continues. Interior Cabinet Secretary…
- 26 Feb 2025 - Doctors working in Public Health facilities in Nairobi County are now threatening to down their tools this Thursday.
- 26 Feb 2025 - Kenya, Somalia explore ways to eliminate irregular non-tariff barriers between the countries.