Meli iliyobeba mapipa milioni 1 yaokolewa baada ya kushambuliwa na Wahouthi
Meli ya mafuta ambayo ilikuwa ikiungua kwa wiki kadhaa katika Bahari ya Sham baada ya kushambuliwa na waasi wa Wahouthi wa Yemen, na kutishia kumwagika kwa mafuta imeokolewa, kampuni ya ulinzi imesema Ijumaa.
Meli hiyo Sounion ilikuwa ni maafa yanayo subiriwa kwa katika mkondo huo wa maji, huku ikiwa na mapipa milioni 1 ya mafuta ghafi ambayo ilishambuliwa na baadaye kuharibiwa kwa vilipuzi vilivyotumiwa na Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran ikiwa ni sehemu ya kampeni yao juu ya vita vya Israel na Hamas huko Ukanda wa Gaza.
Ilichukua miezi kadhaa kwa waokoaji kuweza kuivuta meli hiyo, kuzima mioto na kushusha mafuta ghafi yaliyobaki..
“Mapema Oktoba, meli hiyo ilivutwa hadi upande wa kaskazini wa mfereji wa Suez ili kupakua mizigo, ambapo hivi sasa zoezi hilo limekamilika.”
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilionya kuwa kuvuja kwa mafuta kutoka katika meli hiyo ya Sounion kungeweza kuwa “mara nne kwa ukubwa wa maafa ya Exxon Valdez” yaliyotokea mwaka 1989 nje ya pwani ya Alaska.
Hakuna maelezo yoyote ya mara moja kutoka kwa Wahouthi, ambao wamekuwa wakiushikilia mji mkuu wa Yemen, Sanaa, kwa zaidi ya muongo mmoja na wamekuwa wakipigana na ushirika wa unaongozwa na Saudi Arabia ambao unaiunga mkono serikali iliyo uhamishoni kwa muda mrefu. - AP
#wahouthi #meli #mafuta #bahariyasham #yemen
14 Mar 2025
- However, despite making the demands, the Ministry of Transport is yet to address the matter.
14 Mar 2025
- This is a major change compared to the previous 8-4-4 curriculum.
14 Mar 2025
- The announcement comes amidst ongoing KCSE registration
14 Mar 2025
- Meru County MCAs have filed impeachment motions against eight County Executive Committee Members (CECM) serving under Governor Kawira Mwangaza,
14 Mar 2025
- The Sudan’s Ministry of Trade and Supply has issued a decree suspending all imports from Kenya indefinitely following the latter's decision to host paramilitary Rapid Support Forces (RSF) in Nairobi last month.
14 Mar 2025
- Thika Law Courts Chief Magistrate Stella Atambo has dismissed a statement issued by the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) linking her to bribery and illicit financial dealings.
14 Mar 2025
- Bribery allegations have rocked the Machakos County Assembly after the majority's appointment committee approved Annastacia Munyaka's nomination as CEC for Water and Sanitation.
14 Mar 2025
- Police in Muhoroni Sub-county, Kisumu County are investigating the brutal murder of a 17-year-old female Form Four student whose decomposing body was found dumped in a sugarcane plantation in Migingo area.
14 Mar 2025
- However, despite making the demands, the Ministry of Transport is yet to address the matter.
14 Mar 2025
- U.S. President Donald Trump on Thursday threatened to slap a 200% tariff on wine, cognac and other alcohol imports from Europe, opening a new front in a global trade war that has roiled financial markets and raised recession fears.
14 Mar 2025
- As the holy month of Ramadan approaches, millions of Muslims around the world prepare to observe fasting from dawn until sunset.
14 Mar 2025
- Agriculture and Livestock Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has issued a stern warning against tea hawking, blaming the practice for the declining quality of the cash crop. At the same time, the CS (left) announced that plans are on to form an agricultural…
14 Mar 2025
- Twelve people have been confirmed dead following a tragic road accident at Migaa area on the Nakuru-Eldoret Highway.