Skip to main content
Skip to main content

Tessie Musalia apendekeza wanawake waliohudumu katika idara za usalama kutambuliwa

  • | KBC Video
    33 views
    Duration: 1:48
    UTAMBUZI WA MASHUJAA Wanawake waliohudumu katika idara za usalama waenziwa Muasisi wa shirika la Ushiriki Wema, Tessie Musalia, anapendekeza kubuniwa kwa mfumo utakaohakikisha wanawake wote waliotumikia vikosi vya ulinzi humu nchini wanatambuliwa. Tessie anasema baadhi ya maafisa waliostaafu, hasa wanawake, wanakabiliwa na ufukara kutokana na masharti ya ajira waliyopewa walipokuwa wakitumikia nchi, huku wengine wakisimamishwa kazi ghafla bila faida yoyote. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive