- 116 views
Waangalizi wa uchaguzi na mashirika ya kijamii humu nchini, wanataka mwenyekiti na makamishna sita wa tume ya uchaguzi na uratibu wa mipaka IEBC, kuanza kazi punde tu baada ya kuchukua hatamu. Huku ikiwa imesalia chini ya miaka mitatu kwa uchaguzi mkuu ujao kuandaliwa, wasiwasi umeibuka kuhusu iwapo tume hiyo itakuwa na muda wa kutosha wa kutekeleza mageuzi muhimu. Waangalizi pia wanahimiza jopo la uteuzi wa makamishna wa IEBC kuhakikisha kwamba makamishna wapya wanadhihirisha uadilifu, ujumuishaji na umahiri. Ben Chumba na taarifa hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Tume ya IEBC yatakiwa kuanza kuhudumu punde baada ya uteuzi
- 27 Mar 2025 - A petition seeking to block Treasury Cabinet Secretary from entering into any agreement with the International Monetary Fund (IMF) in the budget process without Parliament’s approval has been withdrawn.
- 27 Mar 2025 - Kenya has received a RMB 100 million (Ksh.1.8 billion) grant from China to boost the healthcare sector.
- 27 Mar 2025 - Nine counties in the country need urgent humanitarian aid.
- 27 Mar 2025 - The United States has removed multimillion-dollar bounties on leaders of Afghanistan's feared Haqqani militant network, including the current Taliban interior minister, the State Department and the Taliban government said.
- 27 Mar 2025 - Mbadi also revealed strategies put in place by the government to deal with the bulging debt.
- 27 Mar 2025 - Turkana County has raised its tuberculosis (TB) budget from Sh1.5 million to Sh20 million for the 2025/26 financial year to strengthen diagnosis and treatment efforts.
- 27 Mar 2025 - Cholera outbreak kills three people in Kisumu County; Health CEC Gregory Ganda says sensitisation efforts ongoing.
- 27 Mar 2025 - It's aimed at enhancing judicial expertise in data governance, privacy, and legal adjudication.
- 27 Mar 2025 - The news comes as Kenya contniues the search of Kenyan officer missing in Haiti.
- 27 Mar 2025 - Three suspects have been charged with conspiracy to commit a terrorist act, the Office of the Director of Public Prosecution (ODPP) has reported.