Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Trans Nzoia wajitahidi kurejesha mabwawa yaliyoharibiwa

  • | KBC Video
    57 views
    Duration: 1:35
    Wakazi wa Wadi ya Keiyo katika Kaunti ya Trans Nzoia wameanzisha kampeni ya kuhifadhi mazingira kwa nia ya kurejesha mabwawa yaliyoharibika, kupitia upanzi wa miche ya miti asili kama hatua ya muda ya kulinda vyanzo vya maji. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive