Skip to main content
Skip to main content

Wanaharakati wasimulia kuteswa kwa siku 38 walipozuiliwa na jeshi Uganda

  • | Citizen TV
    856 views
    Duration: 3:13
    Wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo wamesimulia namna walivyoteswa na kudhulumiwa katika siku 38 walizozuiliwa nchini Uganda. Wawili hao wakielezea namna hofu ya kuwa huenda wangewachochea vijana kufanya maandamano kupinga serikali ya Uganda yalizima safari yao mjini Kampala.