Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #1 ($view) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: mycustom_views_query_alter(): Argument #2 ($query) must be passed by reference, value given in Drupal\Core\Extension\ModuleHandler->Drupal\Core\Extension\{closure}() (line 426 of core/lib/Drupal/Core/Extension/ModuleHandler.php).
Warning: Undefined property: Drupal\views\ViewExecutable::$name in mycustom_views_query_alter() (line 10 of modules/custom/mycustom/mycustom.module).
Zoezi la kuhesabu watu na makazi linaenedelea Uganda
Zoezi la kuhesabu watu na makazi yao limeanza huko nchini Uganda ikiwa kila mtu ndani ya mipaka ya taifa hilo atatakiwa kushiriki.
Serikali ya taifa hilo inatazamia kukamilisha hesabu hiyo katika muda wa siku kumi.
Miongoni mwa maswali ambayo watakaohojiwa ni kutakiwa kuelezea vyanzo vyake vya mapato, muundo na idadi ya watu katika familia yake yaani wake na watoto.
Mwandishi wa BBC Swaibu Ibrahim anaangazia umuhimu wa zoezi hili na kukufahamisha mambo makuu unayostahili kujua kuhusu zoezi hilo.
#bbcswahili #uganda #sensational
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Oct 2024
- The bald truth: Of Millie's candid and shocking take on women's challenges and choices in Parliament, and the wig that hides Kenya's struggle
18 Oct 2024
- The Kenya women’s U17 Soccer team,Junior Starlets went down 0-2 to England in their opening group C match of the ongoing FIFA U17 Women’s World Cup in Dominican Republic. England eager to stamp their authority in the game, controlled proceedings from…
18 Oct 2024
- The Senate has resolved to impeach Deputy President Rigathi Gachagua following a two-day exercise that entailed volumes of evidence and hours of cross-examination.
18 Oct 2024
- The World Bank will unveil plans to tackle job creation, gender disparities, and food security at next week's gathering of the world's finance ministers and central bankers in Washington, its president said in an interview. The World Bank also plans to…