- 19 views
Serikali ya kaunti ya Machakos imefungua kituo cha afya kilichojikita katika hospitali ya Machakos Level -5 katika juhudi za kuimarisha huduma za afya katika kaunti hiyo.Gavana wa kaunti ya Machakos Wavinya Ndeti amesema kituo hicho kinanuiwa kukomesha msongamanao wa wagonjwa na kuwapa nafasi wataalamu wa afya kushughulikia hali za afya zinazohitaji matibabu maalum. Ndeti alisema kucheleweshwa kwa utekelezaji wa halmashauri ya Afya ya Jamii, SHA, kumesababisha changamoto katika mfumo wa kugharamia matibabu. Alisisitiza haja ya kuharakishwa kwa mchakato wa kuwianisha mfumo wa afya wa serikali za kaunti na ule wa halmashauri ya SHA ili kuboresha utoaji huduma.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kituo kipya cha matibabu chajengwa Machakos
- 5 Feb 2025 - Over 700 cases of maladministration by the judiciary have been reported in the last 5 years, with 60 percent of those cases yet to be resolved.
- 5 Feb 2025 - Heavily armed gangs in Haiti have attacked a neighborhood that's home to most of the country's elite and had been largely untouched by criminals, and police have demanded help repelling the assault that has killed at least 40 people.
- 4 Feb 2025 - The family of 19-year-old Elvis Munene is pleading with the government to help find their son after he went missing on January 29, under mysterious circumstances.
- 4 Feb 2025 - President William Ruto has pledged to bring back the five chiefs who were abducted by suspected Al-Shabaab militia on Monday in Mandera County, saying the country will not cede an inch to criminals.
- 4 Feb 2025 - A 7-year-old girl has died after being poisoned by her father, who reportedly mixed petrol with an unknown chemical following an alleged disagreement with his ex-wife, in Minyere village, in Ndhiwa, Homabay County.
- 4 Feb 2025 - Residents said they were moving towards the conflict zone.
- 4 Feb 2025 - Uganda has deployed more than 1,000 extra soldiers into east Congo in the last week near an area where the Kinshasa government is fighting M23 rebels, four diplomatic and U.N. sources said, heightening fears of a regional escalation.
- 4 Feb 2025 - Around 370 schools were also reported closed on Tuesday as a result of the snow
- 4 Feb 2025 - The embassy asked those who might require emergency assistance to contact the Consular Section.
- 4 Feb 2025 - Those who were rescued were taken to the Kakamega General Hospital for treatment