Kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda limetengaza kwamba limesitisha vita mashariki mwa DRC kwa misingi ya kibinadamu. Hali ya kibinadamu imekuwa mbaya tangu mji wa Goma kutekwa na kundi la M23 wiki iliyopita. Zaidi ya watu 700 wameuawa katika mapigano huku wengine 3,000 wakijeruhiwa. Hali hii imeifanya umoja wa mataifa kutoa wito wa kufunguliwa kwa uwanja wa ndege wa Goma kwa ajili ya kushughulikia idadi kubwa ya majeruhi wanaohitaji huduma za matibabu katika vituo vya afya ambavyo hadi sasa vina wagonjwa wengi.
13 Mar 2025
- ODM party Secretary General Edwin Sifuna is among a host of African leaders of opposition parties who were on Thursday denied entry into Angola.
13 Mar 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has launched a probe into allegations of bribery against Thika Law Courts Chief Magistrate Stellah Atambo.
13 Mar 2025
- KMPDU has congratulated Seme Member of Parliament Dr. James Nyikal on his election as the new Chairman of the National Assembly’s Departmental Committee on Health.
13 Mar 2025
- Former Nyandarua County Governor Daniel Waithaka has been convicted of procurement irregularities and failing to comply with procurement laws during his tenure as county boss.
13 Mar 2025
- President William Ruto on Thursday launched the construction of the Kibra Southlands Social Housing Project which is expected to address the housing shortage in Nairobi.
13 Mar 2025
- Pupils at Toi Primary School were Thursday treated to a meal of Chapati courtesy of President William Ruto and Nairobi Governor Johnson Sakaja during their development tour of the area.
13 Mar 2025
- The National Police Service (NPS) has launched investigations into the death of a foreign national who was knocked down by President William Ruto’s motorcade along Ngong Road on Thursday afternoon.