DNC: Walz awaeleza wafuasi wake jinsi watakavyo pambana kushinda uchaguzi
Gavana wa Minnesota Tim Jumatano usiku amekubali rasmi uteuzi wa chama chake kugombea nafasi ya makamu wa rais akitumia hotuba yake ya kwenye mkutnao mkuu wa Demokratik kuwashukuru wajumbe waliofurika katika ukumbi kwa “kuleta furaha” katika uchaguzi uliobadilika kwa kumpa nafasi ya juu kuwa mgombea mwenza wake wa Makamu wa Rais Kamala Harris.
"Sijatoa hotuba nyingi kubwa kama hii, lakini nimekuw anikizungumza mara nyingi," alieleza.
Wademokrat walikusanyika katika ukumbi wa Chicago, United Center wakitumaini kujenga uchachamavu aliouleta Harris tangu kuchukua nafasi ya juu ya chama ya kugombea urais mwezi uliopita.
Wanataka kutumia furaha ya Demokratik iliyokuja baada ya Rais Joe Biden kujiondoa katika kinyang’anyiro cha urais huku akiwaambia wafuasi wake kuwa wanakabiliwa na ushindani mkali dhidi ya Rais wa zamani Donald Trump.
Wamarekani wengi walikuwa hawajawahi kumsikia Walz mpaka Harris alipomfanya kuwa mgombea mwenza. Katika wiki za awali za kampeni, amewavutia wafuasi wake kutokana na uzoefu wake na alisaidia kuleta uwiano kwa uzoefu wa Harris wa mwambao kama uwakilishi wa kitamaduni wa majimbo ya Magharibikati ambao kura zao anazihitaji katika kipindi hiki. (AP).
#dnc #harris #walz #voa
22 Apr 2025
- The soldier is remembered as the "Hero of Nairobi" for saving several people during the Dusit D2 attack.
22 Apr 2025
- The government argues that there is a need to streamline grassroot leadership.
22 Apr 2025
- The announcement followed a rigorous crackdown across the country.
22 Apr 2025
- Two people have been shot dead while two other sustain gunshot injuries at Loberer, Baringo County on Monday.
22 Apr 2025
- The soldier is remembered as the "Hero of Nairobi" for saving several people during the Dusit D2 attack.
22 Apr 2025
- Police in Sotik, Bomet county have mounted a search for a middle-aged man who allegedly strangled his 38-year-old wife to death.
22 Apr 2025
- After spending more than five weeks in hospital for a bout of double pneumonia, doctors told Pope Francis he needed two months' rest - but the leader of the world's 1.4 billion Catholics kept working right to the end.
22 Apr 2025
- The government argues that there is a need to streamline grassroot leadership.
22 Apr 2025
- One of the most long-lasting impacts of Pope Francis' pontificate may be his appointment of more women than ever before to top Vatican positions.
22 Apr 2025
- The announcement followed a rigorous crackdown across the country.
22 Apr 2025
- China is expected to launch a new crewed mission into space this week, as Beijing takes steady steps towards its goal of putting astronauts on the Moon.
22 Apr 2025
- Pope Francis was admitted to a Rome hospital on February 14 with bronchitis, which later turned into double pneumonia that almost killed him twice.
22 Apr 2025
- The MP claims the subject will go a long way in shaping students for the future.