- 12 views
Wabunge wametakiwa kuweka mgao wa bajeti kwa maendeleo ya miundombinu ya msingi na kuweka mbinu za kisera ili kutoa elimu ya bure kamilifu katika elimu ya msingi. Aidha, wanapaswa kuzingatia nafasi yao ya usimamizi na ile ya kuunda sheria. Hii ni kufuatia uamuzi uliotolewa na vikundi vya mashirika ya kiraia kukata rufaa baada ya mahakama kuu kuruhusu matumizi ya hazina ya ngcdf hadi juni mwaka 2026.
Wabunge watakiwa kuweka mgao wa bajeti kwa maendeleo ya miundombinu ya msingi
- - Duniani Leo ››
- 23 Sep 2024 - State obsessed with task forces it ignores
- 23 Sep 2024 - Painful experience of being an intersex in Kenya
- 23 Sep 2024 - Inhalers: Lifesavers for asthma, but hidden environmental threat
- 23 Sep 2024 - Report: How Kenya's weak labour market hurts economy
- 23 Sep 2024 - Ban senators from representing governors in court, activist says
- 23 Sep 2024 - Health experts warning: Think twice before eating bushmeat
- 23 Sep 2024 - Ex-staff vow to take legal action after Nandi County sacked 1,800
- 23 Sep 2024 - Adani deal: Treasury CS Mbadi to appear before Senate
- 23 Sep 2024 - How you can end up in jail for ignoring a hacked account and why changing your password won't keep you safe.
- 23 Sep 2024 - An epic succession battle for his wealth kicks off, entangling his children, senior advocates and a Kinangop-based pastor.