- 78 views
Chama cha ODM kimetoa wito kwa serikali kupitia chama tawala cha UDA kutochukulia urafiki wa kisiasa kati yao na Raila Odinga kama fursa ya kujitengenezea umaarufu katika ngome za upinzani. ODM imesisitiza kuwa watahakikisha wanasimamisha wagombea katika chaguzi ndogo zote nchini, pia wamekanusha madai ya kupanga kuunga mkono UDA au kushirikiana nao katika chaguzi hizo.
Chama cha ODM kimetoa wito kwa serikali kutochukulia urafiki wa kisiasa kati yao na Raila Odinga
- - Duniani Leo ››
- 23 Sep 2024 - High tech would usher in super efficiency in the trading process by potentially cutting the cash turnaround.
- 23 Sep 2024 - While electing judges might seem like a democratic solution, in reality, it is risky and has the certainty to erode judicial independence.
- 23 Sep 2024 - When women have access to contraceptives, they are better able to support their families and contribute to economic growth.
- 23 Sep 2024 - Contempt may be dealt with by either a fine or imprisonment or both.
- 23 Sep 2024 - Ban senators from representing governors in court, activist says
- 23 Sep 2024 - Health experts warning: Think twice before eating bushmeat
- 23 Sep 2024 - Ex-staff vow to take legal action after Nandi County sacked 1,800
- 23 Sep 2024 - Report: How Kenya's weak labour market hurts economy
- 23 Sep 2024 - Adani deal: Treasury CS Mbadi to appear before Senate
- 23 Sep 2024 - This ruling had declared Augustus Kyalo Muli as the legitimate representative of small parties on the IEBC selection panel.