- 44 views
Rais William Ruto sasa anasema yuko tayari kuwabadilisha polisi wa Kenya wanaoendesha shughuli zao za kulinda doria Haiti hadi kuwa maafisa kudumu wa umoja wa mataifa wa kulinda amani. Rais Ruto ambaye anazuru haiti kabla ya hotuba yake ya mkutano mkuu wa umoja wa mataifa ametoa ahadi ya kuongeza maafisa 600 zaidi wa polisi kupiga jeki kikosi cha maafisa 400 walitangulia na kufikisah idadi kuwa 1000 kama ilivyoratibiwa. Rais Ruto amepongeza utendakazi wa kikosi cha kenya licha ya ghasia ambazo bado inaendelea katika taifa la haiti huku hofu kwamba magenge yanalenga maeneo mapya, na kusababisha kuhama kwa watu kuibuka.
Rais Ruto asema atawabadilisha polisi wanaolinda Haiti kuwa maafisa wa kudumu wa umoja wa mataifa
- 23 Sep 2024 - This ruling had declared Augustus Kyalo Muli as the legitimate representative of small parties on the IEBC selection panel.
- 23 Sep 2024 - World leaders from United Nations member states have – by consensus - adopted the Pact for the Future and its annexes Global Digital Compact and Declaration on Future.
- 23 Sep 2024 - Abdi Razak, the brothers' sibling, recounted the traumatic experience they endured during their 30 days in captivity.
- 23 Sep 2024 - Health experts warning: Think twice before eating bushmeat
- 23 Sep 2024 - Ex-staff vow to take legal action after Nandi County sacked 1,800
- 23 Sep 2024 - Report: How Kenya's weak labour market hurts economy
- 23 Sep 2024 - Ban senators from representing governors in court, activist says
- 23 Sep 2024 - Adani deal: Treasury CS Mbadi to appear before Senate
- 23 Sep 2024 - For decades, China has pursued a goal it considers vital to its national integrity: the peaceful reunification with Taiwan. While the world often focuses on China’s military presence in the region, it is crucial to recognize the significant diplomatic…
- 23 Sep 2024 - Speaking at a church service in Thika Town, Gachagua voiced concerns about a purported plot to oust him from office, asserting that any form of betrayal would not sit well with the people of the Mt. Kenya region.