- 212 views
Chama cha ODM kimetoa wito kwa serikali kupitia chama tawala cha UDA kutochukulia urafiki wa kisiasa kati yao na Raila Odinga kama fursa ya kujitengenezea umaarufu katika ngome za upinzani. ODM imesisitiza kuwa watahakikisha wanasimamisha wagombea katika chaguzi ndogo zote nchini, pia wamekanusha madai ya kupanga kuunga mkono UDA au kushirikiana nao katika chaguzi hizo.
Chama cha ODM kimetoa wito kwa serikali kutochukulia urafiki wa kisiasa kati yao na Raila Odinga
- - Duniani Leo ››
- 23 Sep 2024 - State obsessed with task forces it ignores
- 23 Sep 2024 - Painful experience of being an intersex in Kenya
- 23 Sep 2024 - Inhalers: Lifesavers for asthma, but hidden environmental threat
- 23 Sep 2024 - Ex-staff vow to take legal action after Nandi County sacked 1,800
- 23 Sep 2024 - Report: How Kenya's weak labour market hurts economy
- 23 Sep 2024 - Ban senators from representing governors in court, activist says
- 23 Sep 2024 - Health experts warning: Think twice before eating bushmeat
- 23 Sep 2024 - Adani deal: Treasury CS Mbadi to appear before Senate
- 23 Sep 2024 - Tread carefully, the people of Mt Kenya hate betrayers, Gachagua tells President Ruto.
- 23 Sep 2024 - How you can end up in jail for ignoring a hacked account and why changing your password won't keep you safe.