- 2,140 views
Huku mgomo wa walimu wa muungano wa KUPPET ukiingia wiki ya pili, katika kaunti ya Nakuru baadhi ya shule zimeanza kuwatuma nyumbani wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha tatu. Tayari Wanafunzi wa shule ya Upili ya Jomo Kenyatta huko Nakuru wameanza kurudi nyumbani. Wazazi walipokea ujumbe na kutakiwa kufika shuleni kuwachukua watoto wao leo asubuhi. Tunaungana naye Evans Asiba kutoka kaunti ya Nakuru kwa maelezo zaidi.
Baadhi ya shule zimeanza kuwatuma nyumbani wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha tatu.
- 15 Sep 2024 - A surface-to-surface missile fired at central Israel from Yemen hit an unpopulated area, causing no injuries, Israel's military said on Sunday.
- 15 Sep 2024 - The army officer was part of several suspects who were arrested during the four-day operation.
- 15 Sep 2024 - How Ruto's loyalty to friends has shaped his leadership
- 15 Sep 2024 - No walk in park as Ruto attempts to takeover Raila bases
- 15 Sep 2024 - How William Ruto can balance foreign ambitions amid local backlash
- 15 Sep 2024 - EACC grills Maasai Mara University bosses over Sh732m graft scam
- 15 Sep 2024 - Raila: A baton handover and not letting it go
- 15 Sep 2024 - Two years on: Security lapses that riddled Ruto's administration
- 15 Sep 2024 - Whereas President Ruto had promised to shield Gachagua from humiliation, a curse of Deputy Presidents, it was never to be as their wars escalate.
- 15 Sep 2024 - May Americans get the leader they deserve