- 313 viewsDaktari wa Kipalestina Khaled al-Saedni anafanya kazi katika kitengo cha watoto cha hospitali ya Al-Aqsa Martyrs huko Gaza City. Daktari huyu, ambaye amefanya kazi katika hospitali hii kwa zaidi ya miaka 23, alipoteza mguu wake mwaka jana baada ya kujeruhiwa. Anasema alijeruhiwa na bomu katika kambi ya wakimbizi ya Al-Bureij katika miezi ya kwanza ya vita vya Gaza. Kutokana na matatizo yaliyotokana na maradhi ya kisukari, daktari huyu mwenye umri wa miaka 50 anasema, mguu wake ulikatwa. Lakini licha ya kutegemea kifaa cha kutembelea, daktari huyu wa watoto alisema amerejea kufanya kazi kuwahudumia watoto “katika fursa ya kwanza” aliyopata baada ya miezi kadhaa ya kufanyiwa upasuaji na kupata matibabu. “Nimepoteza mguu, namshukuru Mungu. Kuna watu familia zao nzima wamekufa shahidi – wake, watoto, wazazi na ndugu zao,” Saedni alisema, ana matumaini vita vya Gaza vitamalizika haraka. Israel ilianza mashambulizi ya angani na ardhini dhidi ya Gaza baada ya wapiganaji walioongozwa na Hamas kushambulia jamii za Waisraeli Oktoba 2023, na kuua watu 1,200 na kuwachukua mateka 250 kurejea nao Gaza, kulingana na hesabu za Isreali. Kampeni ya kivita ya Israeli tangu wakati huo imewauwa zaidi ya Wapalestina 46,500 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 100,000, kulingana na wizara ya afya ya Gaza. Kampeni hiyo imewakosesha makazi watu milioni 2.3 na kuharibu eneo lote finyu la pwani. #ukandawagaza #daktari #khaledalsaedni #israel #mabomu #hamas #mateka #voa #voaswahili #kilema
Daktari
- - Citizen TV Live ››
- - NTV LIVE: March 2025 ››
- - Duniani Leo ››
- 12 Mar 2025 - The rock went largely unnoticed for 20 years until the school, in Queensland's rural Banana shire, asked paleontologist Anthony Romilio to examine a cluster of three-toed track marks.
- 12 Mar 2025 - The first round notably eliminates the Office of the Chief Scientist, led by Katherine Calvin, a renowned climatologist who contributed to key UN climate reports. She and other US delegates were also barred from attending a major climate science meeting…
- 12 Mar 2025 - Spain's government approved a bill on Tuesday imposing massive fines on companies that use content generated by artificial intelligence (AI) without properly labelling it as such, in a bid to curb the use of so-called "deepfakes".
- 12 Mar 2025 - Former Philippine President Rodrigo Duterte was arrested and taken into custody on Tuesday in Manila on an International Criminal Court warrant for the "war on drugs" that defined his term in office and which killed thousands of Filipinos.
- 12 Mar 2025 - Mr Mudavadi says about 26,000 Kenyans are in Lebanon and evacuating them is a very massive undertaking.
- 12 Mar 2025 - Tompoi, who was on patrol with the UN-backed mission in Haiti, was killed in a confrontation with gang members on February 23.
- 12 Mar 2025 - Uasu blames the council over the delayed implementation of the retirement age clause in the 2017 – 2021 CBA
- - Raila: I didn't go to Ruto, he came looking for me
- 12 Mar 2025 - Catholics and Muslims experience a rare convergence of fasting, prayer and reflection.
- 12 Mar 2025 - Over 500 healthcare providers received less than Sh100,000 during the entire period.