- 263 views
Muungano wa makundi ya kutetea haki za binadamu, wakiongozwa na Amnesty International, tawi la Kenya, Vocal Africa na chama cha madakatari na wataalam wa meno waliandamana jijini Nairobi kudhihirisha umoja na mwanasiasa wa Uganda dkt. Kizza Besigye, ambaye yuko kuzuizini nchini Uganda ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhaini Waandamanaji hao walijumuika katika barabara ya Aga Khan Walk katikati ya jiji la Nairobi kabla ya kuelekea majengo ya bunge kuwasilisha ombi la kutaka Dkt Besigye, aachiliwe huru baada ya kukamtwa akiwa jijini Nairobi mwezi Novemba mwaka uliopita. Makundi hayo ya utetezi wa haki za raia pia yaliapa kuandamana nje ya ubalozi wa Uganda humu nchini leo alasiri ambako watawasilisha ombi la kushinikiza kuachiliwa kwake wakidai ananyanyaswa kisiasa kamba haki zake za kidemokrasia zinakiukwa. Walitoa wito kwa serikali ya Kenya na jamii ya kimataifa kuingilia kati kuishinikiza serikali ya Uganda kumwachilia Besigye.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kuzuiliwa kwa Besigye : Makundi ya kutetea haki yaandamana Nairobi
- 24 Feb 2025 - Njoroge Mwaura became a household name in Kenya for his eloquent news presentation and reporting on major political and socio-economic stories, and was highly regarded in the media fraternity.
- 24 Feb 2025 - In a dramatic escalation of the conflict, the utility company criticized the county's actions, which included officials clamping company vehicles, blocking entrances, and dumping trash at its Stima Plaza headquarters.
- 24 Feb 2025 - The standoff also involves unpaid electricity bills owed by the county to KPLC, further complicating the already tense relationship between the two entities.
- 24 Feb 2025 - A three-judge bench on Monday issued conservatory orders halting proceedings of a High Court bench in former deputy president Rigathi Gachagua's impeachment petition.
- 24 Feb 2025 - DCJ Mwilu, Justices Ibrahim, Lenaola and Ouko secure orders against JSC.
- 24 Feb 2025 - Violence raging in the eastern Democratic Republic of Congo has killed "more than 7,000 compatriots", many of them civilians, since last month, the Congolese premier said Monday.
- 24 Feb 2025 - They join CJ Koome and Judge Ndung'u who obtained similar orders last week.
- 24 Feb 2025 - Body of British businessman Campbell Scott discovered in Makueni stashed in a bag, he went missing from Nairobi on February 17.
- » Mudavadi says Sudan’s warring parties have signed peace deal in Nairobi, hails Kenya as heritage of peace24 Feb 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has hailed Kenya as a heritage of peace in the region and in Africa as a whole. In a statement on Monday, February 24, 2025, Mudavadi, who also serves as the Cabinet Secretary for Foreign and Diaspora Affairs,…
- 24 Feb 2025 - Wheat farmers want the government to regulate wheat import volumes.