- 300 views
Maafisa wa utawala katika wizara ya usalama wa kitaifa wamehusishwa katika mpango wa usajili wa WaKenya katika bima mpya ya afya ya jamii SHA kabla ya uzinduzi wake rasmi wiki ijayo. Maafisa hao watatumia ile mbinu iliyotumika wakati wa usajili wa wakulima milioni 6 katika mpango wa mbolea ya ruzuku. Ushirikiano huu kati ya Wizara ya Afya na usalama unajiri huku serikali ikijiandaa kuanza usajili wa zaidi ya watu milioni 30 katika awamu ya kwanza ya utekelezaji wa mpango huu wa afya kwa wote.
Maafisa kutoka wizara ya usalama kuhusishwa katika mpango wa usajili wa wakenya kwa bima ya SHA
- 25 Sep 2024 - Three victims in the Ksh.1 billion Finland education scholarship case told Nakuru Principal Magistrate Peter Ndege how they were duped to pay millions of shillings to secure slots for degree programmes in various universities.
- 25 Sep 2024 - Nominated Senator Raphael Chimera now wants the government to legalize the selling of local brew, terming it as healthy.
- 25 Sep 2024 - The Ministry of Interior’s National Government Administration Officers (NGAOs) will be on the frontline in the push to register Kenyans into the Social Health Authority (SHA) ahead of its roll out next week.
- 25 Sep 2024 - The Nakuru County Assembly has suspended its sittings indefinitely due to instances of infighting allegedly involving by members of the United Democratic Alliance (UDA) party.
- 25 Sep 2024 - In the past weeks, lawyer Nick Ruto, President William Ruto's son, has been at the controversy over his association with Dentons HHM a law firm that represents Adani Airports Holdings in the case challenging its bid to take over the JKIA.
- 25 Sep 2024 - Murkomen insists the best way to sustain stadiums in the country is through Public-Private Partnership (PPP).
- 25 Sep 2024 - Kajiado Governor joins race to replace Waiguru at CoG
- 25 Sep 2024 - The deceased eyes were gorged out with other injuries on the head and limbs
- 25 Sep 2024 - Joe Biden is set to make his maiden trip to Africa as president to the resource-rich, lower-middle-income and food-deficit country.
- 25 Sep 2024 - Many of the victims claim that they were asked to pay over Ksh100,000 for job opportunities abroad.